Hivi karibuni alipokuwa Kenya, Vanessa Mdee alihojiwa kwenye kipindi cha The Trend cha NTV na moja ya maswali aliyoiulizwa ni iwapo ana boyfriend.
Vanessa ameiambia Bongo5 sababu ya kufanya hivyo licha ya kujulikana wazi kuwa ana uhusiano na Jux.
“Always nikiwa kwenye interview napenda...
*_TANZANIA JOIN 2DAYSKY_*
Hii ni Kampeni Maalumu ya kumsapoti mwanafunzi wa *_UDOM_* anaeitwa Elisha William anayesoma *College of Informatics*ambaye amefanikiwa kutengeneza mtandao wa mawasiliano wa *_2daySky_* ambao unafanya Kazi kwa ufanisi zaidi ya *Facebook*.
Kabla ya kuanza kuutangaza...
Saa ni moja kati ya urembo ambao hutumika kupendezesha mkono au nyumba. Pia zipo saa za aina mbalimbali ambazo hutumika kuonyesha muda katika vyombo vya usafiri. Hizi hapa ni saa ghali zaidi duniani.
1. Breguet Grande Complication Marie-antoinette. Bei $30.000.000
Amini usiamini saa hii...
Watengenezaji wa magodoro wameendelea kuumiza vichwa zaidi kuingiza sokoni magodoro yanayotumia teknolojia ya hali ya juu.
Watengenezaji wa Hispania wametengeneza magodoro yanayoweza kugundua iwapo mpenzi wako anachepuka. Yakiuzwa kwa £1,200, magodoro hayo yanamwezesha mtu aliye mbali na...
Ni rahisi macho yako kukudanganya kuwa unamuangalia mwanamke halisi pale unapomuona jia jia
Akipewa jina la ‘robot goddess’, Jia Jia ana sura na kila kitu kama binadamu wa kawaida kwa kutengenezwa kwa macho yanayocheza kama watu, akizungumza maneno yanaendana na mdomo unavyocheza na anamuita...
Bongo Star Search ni shindano pekee kwa Tanzania la kusaka vipaji kwa vijana wenye uwezo wa kuimba.
Madam Rita kupitia kampuni yake ya Benchmark Production alikuwa na malengo mazuri ya kuanzisha shindano hili ambalo watanzania tulikuwa tunaangalia mashindano kama haya katika nchi za nje tu...
Mastaa wengi wa Bongo wamekuwa wakiahidi vitu vingi kwa mashabiki wao lakini vitu hivyo vinakuwa vinapotea hewani bila ya kutekelezeka.
‘Ahadi ni deni’, watu wengi wanakuwa wanasahau maneno ambayo mwanzo waliyasema wenyewe na bila hata ya kurudisha tena mrejesho kwa mashabiki wao juu ya kauli...
Inaweza ikawa mara ya kwanza kusikia neno”Socialite”,au pengine umeshawahi kusikia mtu akizielezea sifa za mtu kwa kumuita “Socialite person”,ila kwa kifupi “Socialite” ni neno la kingereza linalomwelezea mtu mwenye sifa nyingi ila baadhi ya sifa hizo ni pamoja na kuzungumziwa kwenye vyombo...
Afrika ni miongoni mwa mabara saba duniani yenye wanawake wazuri na wenye mvuto.
Uzuri wa wanawake wengi kutoka bara la Afrika unatokana na rangi zao nyeusi za asili, japo wapo wengi wanatumia vipodozi ili kujichubua ili wapate rangi nyeupe na baadaye madawa hayo huwaletea madhara kwenye miili...
Nyota wa filamu za Bollywood Amitabh Bachchan na Kangana Ranaut wameshinda mataji makuu katika tuzo za kitaifa za filamu nchini India.
Bachchan alishinda tuzo ya muigizaji bora kwa jukumu lake katika Piku huku Ranaut akiwa muigizaji bora upande wa wanawake kwa filamu ya Tanu Weds Manu Returns...
Msanii wa muziki kutoka Tip Top Connection Madee Ali amesema kama angekuwa anatumia Madawa ya kulevya na tayari ameshaathirika basi angewataja wale wanaomuuzia ili kuisaidia serikali kutokomeza matumizi ya madawa ya kulevya Akizungumza katika kipindi cha Enewz cha East Africa Television...
Wasalaam wanajamii.
Kicheche ndiye mnyama mdogo zaidi lakini ana maajabu makubwa sana. Anauwezo wa kumdaka kuku wa aina yoyote kwa kutumia mkia wake cha ajabu zaidi hawezi kuishi bila kufanya mapenzi, anauwezo wa kufanya mapenzi mara 26 kwa siku pia ni sawa na kukimbia kilometa 360 kwa siku...
You used to call me on my
You used to, you used to
Yeah
You used to call me on my cell phone
Late night when you need my love
Call me on my cell phone
Late night when you need my love
And I know when that hotline bling
That can only mean one thing
I know when that hotline bling
That can only...
Nyota wa filamu za Bollywood Sanjay Dutt amewachiliwa kutoka jela katika mji wa magharibi wa Pune nchini India.
Dutt mwenye umri wa miaka 56 alihukumiwa kifungo jela kufuatia makosa ya kumiliki silaha inayohusishwa na mlipuko wa 1993 mjini Mumbai ambapo takriban watu 257 waliuawa na wengine 713...
Shirikisho la Mpira wa Kikapu ( NBA) litazindua rasmi msimu wa kwanza wa ligi ya mpira wa kikapu kwa vijana kwenye kituo cha vijana cha Michezo cha Jakaya Mrisho Kikwete jijini Dar es Salaam mnamo tarehe 27 Februari mwaka huu.
Sherehe hii ya ufunguzi wa mashindano hayo itahudhuriwa na mchezaji...
"Love Yourself"
For all the times that you rain on my parade
And all the clubs you get in using my name
You think you broke my heart, oh, girl for goodness' sake
You think I'm crying on my own. Well, I ain't
And I didn't wanna write a song
'Cause I didn't want anyone thinking I still care. I...
"Thinking Out Loud"
When your legs don't work like they used to before
And I can't sweep you off of your feet
Will your mouth still remember the taste of my love?
Will your eyes still smile from your cheeks?
And, darling, I will be loving you 'til we're 70
And, baby, my heart could still fall as...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.