[emoji1][emoji1] watoa Ushauri ni wachache, wengi ni wakandamizaji
Naona jinsi nchi yetu tuna Aina gani ya watu . Umeleta Jambo title imeandikwa kuomba Ushauri mtu anaaanza kukutisha. Kitu ambacho ni quite different. Ni Bora mtu aseme nakupa angalizo.
Mtu mpaka kuandika humu amewaamini hawa...
Ndugu wewe inaonekana hujawahi kuzini ni mwaminifu siku zote.
Makosa hutokea ndo maana watu wanatafuta Ushauri. Wewe hufai kuwa hata mshauri wa familia yako
Sijavunja ndoa na hata simjui nimekutana nae alipokuja kwenye mkoa ambao mimi nipo. Ndoa yake anasema waliachana miaka miwili iliyopita na mmewe aliambiwa yuko mkoa mwengine kwa hiyo hawajawahi kuwasiliana.
Unatoa Ushauri au laana.
Mbona unajivika umungu.
Binti ametoka mkoa mwengine amekuja mkoa naoishi mimi. Akanidanganya kuwa hajaolewa na Hana mtoto. Au ndugu yangu ujapitia maisha ya ujanani kila kitu utafanya perfect.
Huyu binti alitoka mkoa mwengine amekuja kufanya kazi mkoa mwengine. Kwa hiyo nilikuwa sijui chochote si unajua mtu akiamua kuficha taarifa zake. Na yeye hajui huyo mwanaume anaishi wapi ss hivi.
Habari wakuu?
Kuna binti nipo nae kwenye mahusiano kwa miezi sita sasa. Nilikutana nae kwenye mgahawa mmoja nilipokuwa naenda kupata chakula. Mimi bado sijaoa na sina familia maisha yangu mengi nakula kwenye migahawa.
Nilimpenda kiukweli hatimaye nikawa nae. Binti huyu akuniambia mama ameolewa...
Habari wakuu?
Nina printer aina ya EPSON L850 changamoto niliyonayo nashidwa ku print PVC card. Naomba msaada wa jina la software ili niweze ku download nifanye hii shughuli.
Ahsante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.