Mashirika sita makubwa ya umma yanaitegemea serikali kwa kila kitu mpaka mishahara ya wafanyakazi. Mashirika haya ni mzigo mkubwa kwa taifa.
Mashirika hayo ni TTCL, TAZARA, TRL, ATCL, Twiga Bancorp na Tanzania Women's Bank.
Hayo yamesemwa na treasury Registrar bwana Mafuru. Pia Mafuru kasema...
Katika majimbo yaliyoniuma kwa CHADEMA kuyakosa ni pamoja na Jimbo la Kyela, kule kwa Mwakyembe.
Nilishiriki kufanya utafiti kwa niaba ya timu ya mzee Lowassa juu ya nani angeliweza kulichukua hilo Jimbo kwa niaba ya CHADEMA. Mapendekezo yetu yalionyesha Mwakyembe alikuwa hakubaliki Kyela na...
Zitto noooooooooooooooooooooooooooooooommmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmaaaaaaaaaa!!!!!!!
Tunakushukuru kijana mwenzetu mpenda haki na mtetezi albert msando. umewabwaga hao mawakili maarufu ambao wanachanganya sheria according to jk.
maliza shughuli ndani njoo nje tukubebe mpaka kokote uendako...
ndugu, wapenzi na marafiki wa zitto,
leo tumefanya jambo la maana sana pale mahakamani. tumewaonyesha ya kwamba zitto ni kipenzi cha vijana
wengi.
hatukutaka kwenda mahakamani lakini walichofanya chadema ijumaa kuandaa vijana kumzomea zitto ndio kimetukusanya sisi wapenzi wake wote. wameanza...
sitta umedanganya nchi kuhusu ugonjwa wa rafiki yako Mwakiembe. sasa amekuruka na kukuacha uchi, jiuzulu mara moja kwa faida ya nchi.
hatutaki viongozi wanafiki na waongo!
Nina maswali magumu ya kumuuliza.
tafadhali baba rudi jf tujadili ile posho kubwa ya milioni 7.5
ninayo maswali mengine kuhusu mchumba wako wa kudumu kuwatumia waheshimiwa sms za mipasho.
maswali mengine yanahusu demokrasia finyu ndani ya chama chako. eti diwani wa arusha hawezi kuamua kitu...
ilikuwa kila post ambayo chadema hawaipendi wanavurumisha mimatusi na pia wanaanzisha posts zisizo na mshiko.
ccm magamba wameamua dawa ya moto ni moto. wamekuja na nguvu mpya baada ya kujivua magamba. sasa chadema wanalia. kamchezo kabaya walikokaanzisha hapa jf kamerudi kuwacharanga wenyewe...
chadema nao kumbe wanatafuna mapesa yetu bila kuwajibika mbowe anazitafuna tu hizo na kusingizia anajilipa madeni.
Vita ya ufisadi yageukia vyama vya siasa
Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Ludovic Etouh
Ramadhan Semtawa
VYAMA sita vya siasa vyenye wawakilishi...
Mrema aungwe mkono kukomesha halmashauri zilizokubuhu ubadhirifu
Na Mhariri (Nipashe)
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Augustine Mrema(mbunge wa Vunjo-TLP), wiki hii imeendeleza makali yake kupambana na halmashauri zinazolegalega katika kusimamia...
baba daktari mrema akisema hutekeleza
Wabunge kuwaweka 'kiti moto' watendaji halmashauri
Daniel Mjema, Same
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) leo inaanza ziara ya kikazi mkoani Kilimanjaro ambapo inatarajiwa kuwaweka kiti moto baadhi ya watendaji wa halmashauri kuhusu...
Tanzania yaingia ubia umeme wa upepo
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Power Pool East Africa, Machwa Kagoswe, akitoa maelezo kwa Naibu waziri wa Viwanda na Biashara, Lazaro Nyalandu (katikati)kuhusiana na eneo litakalotumika kuzalishia umeme wa upepo mkoani Singida juzi. Serikali imeingia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.