ilikuwa kila post ambayo chadema hawaipendi wanavurumisha mimatusi na pia wanaanzisha posts zisizo na mshiko.
ccm magamba wameamua dawa ya moto ni moto. wamekuja na nguvu mpya baada ya kujivua magamba. sasa chadema wanalia. kamchezo kabaya walikokaanzisha hapa jf kamerudi kuwacharanga wenyewe.
magwanda wamefulia
ccm magamba wameamua dawa ya moto ni moto. wamekuja na nguvu mpya baada ya kujivua magamba. sasa chadema wanalia. kamchezo kabaya walikokaanzisha hapa jf kamerudi kuwacharanga wenyewe.
magwanda wamefulia