TANGAZO TANGAZO KWA WALIMU WANAOHITAJI KUJIENDELEZA.
KAMPASI YA ADEM MBEYA IMEANZA KUTOA MAFUNZO YA 1. DIPLOMA YA UONGOZI WA ELIMU (DEMA/DELMA)
2. DIPLOMA YA UTHIBITI UBORA WA SHULE (DSQA) KWA NJIA YA KUSOMA WAKATI WA LIKIZO (BLENDED) KUANZIA OKTOBA 2023.
FOMU ZINAPATIKA KWENYE Website yetu ya...
Simu ni TECNO BOOM J5,
ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni...
Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni upatikanaji wa betri.
Simu ina mwaka mmoja tangu inunuliwe na
Inaoperate vizuri tu.
Ila kwa sasa betri yake imeshaanza kuchoka.
Naomba kujuzwa kama betri mpya za Hii simu zinapatikana.
NB: Nimeangalia kupitia utaratibu wa TCRA,
Hii haimo miongoni mwa zitakazozimwa mwezi Juni.
Nisaidieni upatikanaji wa betri.
Habarini ndugu wanajukwaa.
Kuna rafiki zangu wapatao watatu ambao tumekuwa tukishirikiana kwa mambo mengi na kusaidiana hata kiuchumi na maarifa,
Tumekuwa tukiishi kindugu kabisa.
Wawili wana wana ndoa zao na watoto,
Mmoja ana mchumba tu.
Mimi nimekuwa singo kwa muda fulani tangu nifarakane na...
Nimesikitishwa na kushangazwa sana kuona radio Hii,
Tena iliyopo jijini Dar Kuwa na watangazaji wabovu kama hawa.
Hadi mgeni Jide kawaona kituko.
Jionee hapa
Habarini wakuu.
NAHITAJI chumba kimoja cha kupanga Bagamoyo MJINI.
Kiwe MAENEO ya KARIBU Na shule ya sekondari ya EAGLES,
Kiwe Na umeme Na MAJI yapatikane.
Nyumba husika isiwe Na WATU WENGI Na mikusanyiko ya Mara kwa Mara.
Na isiwe SEHEMU ya BIASHARA kama duka, mgahawa, grocery, genge n.k in...
NDUGU naomba mnisaidie KWENYE HILI.
Kwa BAJETI ya MILIONI 12 TSHS. NAWEZA KUSOMA MASTER YA MASS COMMUNICATION Ulaya?
Ikiwa ni gharama ya Nauli ya kwenda, Ada, Malazi Na maHITAJI ya Darasani?
Na ni NCHI GANI YAWEZA KUWA Na gharama nafuu?
Karibuni.
Wakuu hivi like tangazo LA nafasi mbalimbali Mzumbe University lilitolewa TAREHE ngapi?
Naomba kujua tarehe husika ambayo like tangazo lilitolewa,
Maanake pale kwenye website yao siiljaiona wakuu.
Wakuu hivi like tangazo LA nafasi mbalimbali Mzumbe University lilitolewa TAREHE ngapi?
Naomba kujua tarehe husika ambayo like tangazo lilitolewa,
Maanake pale kwenye website yao siiljaiona wakuu.
Nimekuta jamaa ambao kwa mazungumzo yao nikabaini kuwa ni graduates wa education chuo flani nchini.
Katika stori zao nikasikia wanadai kuwa mwalimu wa ngazi ya Diploma anatakiwa kufundisha O-LEVEL tu Na haruhusiwi kufundisha A-LEVEL,
Ila mwalimu wa ngazi ya Degree anaruhusiwa kufundisha O-LEVEL...
Kuna ndugu yetu ni mwalimu wa shule ya msingi wa ngazi ya cheti,
Mwaka huu kaapply Diploma in Primary Education.
Vipi matokeo ya kuchaguliwa yameshatoka wakuu?
Tusaidiane.
Inasemekana kuwa kule East Africa Radio na TV Zembwela anakubalika sana kwa kuwa degree yake ya uandishi wa habari kaisomea ughaibuni.
Hivi ni nchi gani wakuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.