Akademician
Senior Member
- May 20, 2015
- 143
- 36
.
Unapeleka cv tu kwenye office zao morroco airtel ukishuka kituoni utaona sheli unaelekea barabara y mwenge utaona kanisa unaingia kushoto unawez uliza hapo sio mbali
Hyo office haipo sikuhizi ni masaki makao makuu
mm nlipeleza june na niliitwa kufanya interview kisha training pale mwenge BN
nimeifanya hiyo kazi ila ndani ya mwezi mmoja nikaikimbia asee..inahitaji moyo.
wale jamaa wanyonyaji tu.Ugumu wake ni nini na challenge zake ni zipi.
wale jamaa wanyonyaji tu.
Kwaio wamehamia wap hawa majamaa ?? tuambien wadau
Kwaio wamehamia wap hawa majamaa ?? tuambien wadau
ofisi zao zipo mbele kidogo ya Tumaini University - Mwenge, coca cola road, zipo kwenye ofisi inayoitwa BN aluminium
Habari zenu wakuu.
Hivi utaratibu wa kupeleka CV kwenye hizo ofisi upoje?
Unaambatanisha na Cover Letter au ni kopi ya CV pekee?
Pia naomba kutambua zilipo hizo ofisi kwa hapa Dar.
Natanguliza shukrani.