Ni hakika na kweli kila mwamba ngozi huvutia kwake, usipokaza upande wako hilo ni wazi ngozi itajikunja kwako.
Naona wazi kabisa akili ya mwanadamu wa kawaida inakwenda kufikia mwisho sasa, hapa ndipo uwezo wa Mungu mwenyenzi utakapoanzia. Wapedwa, kwa sasa watanzania tunamuhitaji Mungu kuliko...
Ooooooh!!! thanks nimejifunza kitu hapo thanks again. Kila siku najifariji najua kwamba heka moja ni mita 70 kwa 70 hivyo heka moja ni 4,900 sqm. Thanks kamanda.
Pole ndugu yangu, nililiona mwanzo sana hilo, nahisi hakuna jibu la moja kwa moja kuhusu gharama, zinatofautiana kwa mtu na mtu na sehemu uliyopo. Ukipenda kumjaribu huyo jamaa niliyemtumia mimi nitumie ujumbe wa private nikupe namba zake umtafute. But in short changanua katika maongezi hayo...
Samahani naomba kueleweshwa hizi law density, medium na high density range zake katika sq. meter zinakwendaje? yaani nikitaka kupima shamba langu zima liwe na viwanja vya low density kwa heka moja nitapata viwanja vingapi?
Kila mtu ana ushuhuda wake hapa, sasa sijui kama tunaweza kumsaidia ndugu yetu au la but upimaji kwa sasa ni biashara kabisa hivyo tukienda kichwa kichwa tutapigwa ile mbaya. Mimi nimeanza process za kwanza, shamba lipo kibaha ekari 4, umbali wa 12kms kutoka barabarani kuu, jamaa kuja kulipima...
Thanks nimeshapata jibu. Nami sikujua hizi nafasi zilivyotangazwa nikaulizwa swali hili na dogo sikupata jibu la haraka. Kumbe nafasi zilizotangazwa ni group mbili tu, hivyo wao wamezitenganisha kutokana na certificates zako. Hivyo inategemea group uliyoombea ndio unakwenda kwenye interview yake...
Thanks Kada kwa kumsaidia dogo, nami nilikuwa natafuta njia ya haraka ya kumsaidia tatizo lake. Naona amewaelewa wana JF na amejifunza jinsi ya kuandika siku nyingine.
Samahani wadau. Noamba msaada wenu. Nimesoma hilo tangazo, usaili ni tarehe 17 January 2014 kwa Investigation Officers saa 9:00 a.m na kwa Assistant Investigators saa 12:00 p.m. Je hao wengine walioitwa kwenye usaili watapangiwa tarehe nyingine au ndio hizo hizo wanajichanganya humo?
Mkuu ni huduma kuboreshwa tu lakini madai ya kupita mizani bila kupima naona kama haiwezekani kwa kuwa control ya gari pia inategemea na mzigo uliobebwa na pia kuna maximum load kwenye tairi ya gari hivyo ukizidisha kuna possibility kubwa ya kupasua tairi hakuna asiyejua matokeo yake . Hivyo...
Mkuu asali nzuri sana pia inapatikana DSM. Kama upo DSM pita pale wizara ya Maliasili na Utalii nenda moja kwa moja ofisi za uhasibu kuna mtu namfahamu pale anazo asali best za nyuki wakubwa na wadogo.
Ni kweli kabisa watanzania wengi tungekuwa saa hizi marehemu, wewe MziziMkavu hebu uliza kwenu hamkawahi kupikia kitunguu wacha cha jana hata cha juzi. Mimi nakumbuka kabisa kitunguu kwetu kilikuwa hakipikii mara moja mpaka na ukubwa wangu huu sijaona mtu amekufa kwa kula kitunguu cha jana au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.