Abdulbastwa
Member
- Jul 24, 2012
- 22
- 2
Habari yenu jf. Samahani waungwana kwa yeyote mwenye lile tangazo la AJIRA PCCB lililotolewa SEPTEMBER 2013 KWA AJILI YA MAOMBI YA KAZI HIZI TAFADHALI ANISAIDIE.
Habari yenu wana JF. Hongereni kwa 2liokua short listed, na pole kwa waliokosa. Hii isimkatishe yeyote tamaa kwani ni bahati na mapenzi ya mungu huenda kesho ikaja kwako. Samahani waungwana kwa yeyote mwenye lile tangazo la AJIRA PCCB lililotolewa SEPTEMBER 2013 KWA AJILI YA MAOMBI YA KAZI HIZI TAFADHALI ANISAIDIE.
Habari yenu wana JF. Hongereni kwa 2liokua short listed, na pole kwa waliokosa. Hii isimkatishe yeyote tamaa kwani ni bahati na mapenzi ya mungu huenda kesho ikaja kwako. Samahani waungwana kwa yeyote mwenye lile tangazo la AJIRA PCCB lililotolewa SEPTEMBER 2013 KWA AJILI YA MAOMBI YA KAZI HIZI TAFADHALI ANISAIDIE.
Habari yenu wana JF. Hongereni kwa 2liokua short listed, na pole kwa waliokosa. Hii isimkatishe yeyote tamaa kwani ni bahati na mapenzi ya mungu huenda kesho ikaja kwako. Samahani waungwana kwa yeyote mwenye lile tangazo la AJIRA PCCB lililotolewa SEPTEMBER 2013 KWA AJILI YA MAOMBI YA KAZI HIZI TAFADHALI ANISAIDIE.
unaweza usipite kwenye interview vile vile..yote yanawezekana
Huyu cdhan bana labda apitishwe 2.
Habari yenu wana JF. Hongereni kwa 2liokua short listed, na pole kwa waliokosa. Hii isimkatishe yeyote tamaa kwani ni bahati na mapenzi ya mungu huenda kesho ikaja kwako. Samahani waungwana kwa yeyote mwenye lile tangazo la AJIRA PCCB lililotolewa SEPTEMBER 2013 KWA AJILI YA MAOMBI YA KAZI HIZI TAFADHALI ANISAIDIE.
Thanks Kada kwa kumsaidia dogo, nami nilikuwa natafuta njia ya haraka ya kumsaidia tatizo lake. Naona amewaelewa wana JF na amejifunza jinsi ya kuandika siku nyingine.Jaribu hii kama itakufaa
makambakokwetu.blogspot.com/2013/10/nafasi-za-kazi-zaidi-ya-350-takukuru.html?m=1
Inaonekana huyu dogo alishasahau aliomba nafasi ipi! Hizi div 5 hasara kwelikweli!
Mkuu #Abdulbastwa unapoomba kazi basi taarifa/tangazo lolote linalohusiana na hiyo kazi unatakiwa uhifadhi kwa ajili ya reference hapo baadae endapo utaitwa kwenye usaili.
Jaribu kulitafuta kwenye google huenda ukalipata, hongera kwa kuwa short listed & kila la kheri.