Source live on TBC1, Waziri Wasira nasema kuwa maandamano yanayofanywa na CHADEMA yanahamasisha vurugu kwa kauli zao, huku akisema kuwa Nguvu ya umma anayoijua yeye ni ya kwenye sanduku la kura.
Ndugu wana Watanzania. Kwa kweli Mkoa wetu wa Kilimanjaro umepoteza dira katika michezo ya aina mbalimbali ikiwemo soka. Toka enzi za USHIRIKA kucheza ligi kuu umepotea kabisa na kuacha vijana wengi mtaani kufanya mabo yasiyofaa yakiwemo udokozi, uzururaji na utumiaji wa madawa ya kulevya mf...
Tetesi kutoka kwa watu wa karibu na JK, baada ya kuwateua Zakia Meghji na Shamsi Vuai pia jina la LAWRENCE MARSHA limo kwenye list ya wabunge 10 wakuteuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.