sioni umuhimu wa kusubiri kamati ya bunge kuendelea kukusanya taarifa wakati watu wanakufa,mwisho wa siku mwenye maamuzi ni serikali kwa nini uamuzi huo usifanywe sasa?fire all those who are responsible!
Makinda anasema kushughulikia suala hili kunahitaji utulivu,mimi nasema linahitaji uharaka na dharura kwa serikali kutoa maamuzi.
YAP, naona saa ya ukombozi imekaribia. Suala la mapinduzi huwa halichagui. Watakaopoteza maisha tuwaombee maisha mema na wasamehewe makosa yao lakini huenda ikawa ndio mwanzo wa Tanzania mpya kwa vizazi vijavyo. Salamu kwa viongozi wa CWT ambao wanakurupuka na kukubali kuyumbishwa kitoto. Siku moja kabla hawajatangaza mgomo wanachama wao watakuwa tayari wameweka "chaki zao chini" Endeleeni madaktari. Tuko nyuma yenu. Tukiona watanzania wengi wagonjwa wanapotea basi wananchi hatutakuwa na uamuzi zaidi ya kuingia barabarani, hapo tutabadili historia yetu.
my God. Mungu Tanzania tunasubiri kudra zako maana serikali tulioambiwa imetoka kwako sasa imeshindwa na hali unaiona . Tunakuomba uwapokee hao wanaokuja sasa kutokana na mgomo wa madaktari maana siku zao zilikuwa bbado ila serikali yao ndio imeamua wafe. Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.