Mdogo wangu hebu jifunze kwanza kuandika Kiswahili kilichonyooka! Si ajabu ukawa unashindwa kujibiwa mswali yako(hata kama Mwalimu Mndeme kakujibu), kutokana na namna unavyoandika.
Xamahan ndio lugha gani? Vipi kuhusu kuxoma? na mblmbl je?
Chanzo cha ajali ya jana ni Gari la Best Line kutokuwa na break na kabla ya ajali hiyo alishagonga Hiace maeneo za Mbeya Mjini wakati anaondoka stand kuu, na abiria walishampigia kelele!!! Ajali ingehusisha gari nne Ikiwemo Upendo isingekuwa Juhudi za gari la Upendo kumpisha Bestline!! Hata...
Watoto utawajua kwa maneno yao na mawazo yao!! Ficha Upumbavu wako ndugu,ni muhimu kila mtu akajua kuwa una busara kuliko kila mtu akijua kuwa wewe ni mpumbavu!!!!
Ningalikuwa na matusi,ningesema,"Wewe ni mpumbavu"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.