Nyumba ipo Tabata kituo Chama ina vyumba 3 kimoja ni masta, sebule, sehem ya kulia chakula na choo cha ndani. umeme upo ndani ila baadhi finishing hazijaisha.
Mawasiliano na picha whatsapp piga 0786 360 818.
karibuni sana na maonge yapo.
Viwanja vipo Buyuni kata ya Majohe sehemu inaitwa Nyebulu. vinaukubwa wa mita 15-15 unaweza kuviunganisha ukapita ukubwa mzuri na umbali toka barabara kubwa ni kilomita 1 na nusu. Vimepangwa vizuri kwa barabara za mitaa. Bei ni ml.5 tu.
Piga simu no 0655 360 818
kaka omba muujiza utokee mm ninandugu yangu alituma pesa kutoka mpesa kwenda NMB wala haikufika na Voda nao wakasema imeenda ila angoje cku 7 hamna kilichotokea akaamua kusamehe
Gari inahitajika Mark II grand namb C iwe na hali nzuri cause itakua inasafiri mbali, kama ipo tuma picha kwa whatsapp number 0786 360 818 au piga simu.
Nyumba ipo tabata kimanga kituo ni chama. vyuma vitatu kimoja ni masta, sebule ,dining na choo cha ndani na umeme ushaingia ila Nyumba ni mpya haijakamilika baadhi ya sehem.piga 0655 360 818 kwa maelezo zaidi
Habari wana Jamii Forums.
Kuna nyumba inauzwa ipo Tabata Kimanga kituo ni chama. Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja ni Masta, sebule kubwa, dining na choo cha ndani na ina eneo kubwa kiasi ila bahati mbaya gari haifiki. Mawasiliano piga 0655 360 818 mazungumzo yapo.
karibuni sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.