Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
Wakuu heshima kwenu,
Nilikuwa natuma pesa kwenda bank ya NMB kwa kutumia M-Pesa, bahati mbaya nikachagua CRDB badala ya NMB. Account ni sawa but imeenda bank ya CRDB badala ya NMB. Nimewapigia Mpesa huduma kwa wateja wamesema pesa itaridishwa baada ya siku saba za kazi, na bahati mbaya nipo mbali na ofisi za Voda au bank kwa sasa.
Je, ni kweli itarudishwa au mpaka niende Phsicaly Office za Voda!? Je, inawezekana account ya bank moja ikafanana na ya bank nyingine!?
Naombeni msaada wa mawazo!
Nilikuwa natuma pesa kwenda bank ya NMB kwa kutumia M-Pesa, bahati mbaya nikachagua CRDB badala ya NMB. Account ni sawa but imeenda bank ya CRDB badala ya NMB. Nimewapigia Mpesa huduma kwa wateja wamesema pesa itaridishwa baada ya siku saba za kazi, na bahati mbaya nipo mbali na ofisi za Voda au bank kwa sasa.
Je, ni kweli itarudishwa au mpaka niende Phsicaly Office za Voda!? Je, inawezekana account ya bank moja ikafanana na ya bank nyingine!?
Naombeni msaada wa mawazo!