mgusi mukulu
JF-Expert Member
- Oct 24, 2013
- 715
- 680
mkuu ni ml. 23 co? kumepimwa na hamna tatizo
BEACH PLOT 2 is situated at Mjimwema, along the South Coast of Dar es Salaam, 8 km from the Kigamboni East Ferry Terminal. 100 meter from the main road. plot ipo barabarani eneo ni tambalale.UKUBWA NI SQUARE METER 1400...............PRICE MIL 23 NEGOTIABLE. CONTACT 0716805201...........
View attachment 233507
Ni BACH PLOT? How far from the beach?
Halafu maneo hayo yanasifika sana kwa kuingiza mjini watu kwa kushirikiana na serikali za mitaa!
Shukrani mkuu. Lakini tambua hii ni biashara hata kaliakoo au posta watu wanaingizwa mjini madukani ni umakini wako na utashi wako kwa unachofanya.
Yaaah mil 23 ila hapajapimwa maana kama unavyojuwa wazee wetu wapo huku toka miaka ile sasa kwenye swala la upimaji walikuwa nyuma sana wanachofanya wanakata vipande tu then wanauza....na halina mgogoro wowote either liwe la miradhi au ukoo..hapana mwenyewe yupo ni mzee wetu wa hapahapa......
Poa mkuu, lakini haujajibu swali la msingi; Umbali gani kutoka beach? Kuna viwanja vingine kabla ya kugusa maji?
Poa mkuu, lakini haujajibu swali la msingi; Umbali gani kutoka beach? Kuna viwanja vingine kabla ya kugusa maji?
Kutoka beach ni kama meter 600 opposite na south beach resort unaiona kwa mbele hapo kwenye picha kwa mbele kuna miti mikubwa ndo south beach..kutoka main road ni meter 100 tu.