Search results

  1. Ngalikivembu

    Huu muujiza na ushuhuda niliosikia kwa Mwamposa umenistua

    Hela za ndotoni hizi. Laini ya Nani hiyo ipokee hiyo hela? Na sio mtumiaji wa miamala. Mwamposa bhana
  2. Ngalikivembu

    Rais Samia amesahau hili la umeme ni yeye amelileta, tumkumbushe

    Angalia vizuri takwimu zako wewe. Soma barua ya 25. November. 2020. Nani alikuwa Rais?
  3. Ngalikivembu

    Safari yangu ya Dar-Njombe-Iringa-Dodoma-Tabora-Kigoma-Kasulu-Kibondo-Nyakanazi-Kahama-Singida-Dom-Dar

    Kwanza hongera kwa safari ya kuona ukubwa wa nchi. Watanzania wengi kutembea wanaona kama wanapoteza hela. Ndio maana maswali Yao niende Serengeti kufanya nini? Kumwona Simba tu? Ananisaidia nini? Wapo wengi watanzania hawaijui nchi hii. Anafika sehemu kwa sababu ametumwa kikazi. Yeye mwenyewe...
  4. Ngalikivembu

    HESLB inawaumiza Watanzania; kwa haya madudu mnamwangusha Rais

    BODI YA MIKOPO YAZIDI KUWAKANDAMIZA WATANZANIA MASKINI: RAIS WETU TUSAIDIE KATIKA HILI Anaandika Justus Mbawala, 0753 917802 (Copy And Paste) Napenda kuchukua nafasi hii kumshukuru sana mama Samia, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa namna alivyoweza kusikiliza kilio cha muda mrefu...
  5. Ngalikivembu

    Nini maoni yako baada ya Malissa kuacha siasa za kiharakati na kuwa fundraiser?

    Kichwa cha habari na contents ulizoziandika ndani haziendani. Hakuna sehemu hata moja uliyoonyesha kuwa anafanya fundraising na kuacha siasa. Kuacha kupinga haina maana ameacha siasa.
  6. Ngalikivembu

    Tumpigie kura Rais Magufuli kuwa "Best Political Leader of the Year 2020"

    Are we serious that ,Mr President shall win this battle? Who knows him in the World? May be if it could be hosted by our NEC, surely the victory could be 100 percent
  7. Ngalikivembu

    Miaka 500 yatimia tangu Kanisa Katoliki kumtenga Martin Luther, mwanzilishi wa Kanisa la Kilutheri

    Leo tunatimiza miaka 500 tangu Kanisa Katoliki lilipotoa waraka wa Kipapa wa kumfukuza aliyekuwa padre wake Martin Luther Januari 3, 1521. Papa alifikia uamuzi huo baada ya miaka minne ya minyukano kati ya kanisa na Luther. Luther alikuwa padre na mtawa wa kanisa katoliki kupitia shirika la...
  8. Ngalikivembu

    Uchaguzi 2020 Waraka kwa watumishi wa Umma kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Umeongea vyema sana. Itashangaza sana safari hii watumishi wakifanya majaribio ya kudhania kuwa Magufuli atawapa mishahara yao. Hilo wasahau.
  9. Ngalikivembu

    Nyongeza ya mishahara hakuna, najenga Nchi

    Itashangaza sana kwenye uchaguzi huu kama kuna mtumishi anaipa CCM kura. Tumeshamuona huyu mtu jinsi alivyotutesa na kutuhadaa. Ana majibu ya hovyo kwa watumishi sana. Kura yako mwaka huu ni ya thamani sana. Watumishi acheni mazoea ya kupiga kura kwa CCM.
  10. Ngalikivembu

    Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi ina 'double standards' kwenye kusimamia ratiba ya kampeni kwa wagombea

    Ratiba rasmi ya NEC toleo la 5 la Octoba 2 mwaka huu, inaonesha namna wagombea wa vyama vyote sehemu wanazotakiwa kuwepo kwenye mikutano rasmi ya kampeni. Lakini kumekuwepo na ukiukwaji mkubwa wa ratiba hiyo kwa upande wa CCM na mgombea wake. NEC inaonesha kuigwaya CCM na mgombea wake. Mara...
  11. Ngalikivembu

    Lissu achana na stori za risasi, panga hoja zako utawafanyia nini Watanzania

    Usijifanye kupotezea issue kubwa Kama hiyo. Kama Umetumwa Wasalimie. Lazima aseme. He survived to tell the tale
  12. Ngalikivembu

    TTCL Corporation: Support thread (Maswali, ushauri na malalamiko)

    Wanapata hasara na tayari wana wateja sasa. Ilikuwa kuvutia wateja ebooo
  13. Ngalikivembu

    Kukamatwa kwa Sheikh Ponda na fursa ya kuwaunganisha Waislamu

    KUKAMATWA SHEIKH PONDA NA FURSA YA KUWAUNGANISHA WAISLAMU NA KUWAPAMBANUA NA KUWATENGANISHA WANAFIKI WASALITI NA WAZANDIKI Dkt. Abdillah Sambalaa Masomoni Uganda. Niwape moyo ndugu zangu waislamu wa Tanzania wenzangu hasa wale wenye mrengo wa kuupenda uislamu wao katika nyanja zote katika...
  14. Ngalikivembu

    Professor Charles Nyamiti shall be remembered in Africa: His contributions in Theology and Music are unforgotten

    Rev. Prof. Charles Nyamiti was born in 1931, among three brothers and four sisters, to Mzee Theophilus Chambi Chambigulu and Mama Helen Nyasolo, (both Late) belonging to the Wanyamwezi of Tanzania. Prof. C. Nyamiti was ordained a Catholic priest in 1962. His vocation to priesthood remains the...
  15. Ngalikivembu

    Sio wakati wa kuitabiria mabaya CHADEMA

    Wewe bado Una nyonya lazima. Ukiacha ziwa Utakuja kusimuliwa na kupata majibu ya maswali na dilemma yako Sent using Jamii Forums mobile app
  16. Ngalikivembu

    Wakili Musa Kwikima (1939 – 2020) Katibu Tume ya Waislam ya Mgogoro wa EAMWS, 1968

    Mimi niliyepata kumsikia jaji Musa kwenye baraza maarufu Kigoma meza ya duara, miaka miwili iliyopita, alieleza mengi zaidi ya haya. Mengine yanatisha. Nae alipata kusema angeendelea kuhudumu angekuwa jaji mkuu. Umeeleza sahihi japo hujamaliza yote. Sent using Jamii Forums mobile app
  17. Ngalikivembu

    Musa Kwikima na Ujaji wa Mahakama Kuu kwa mara ya pili 1983

    Hebu maliza stori yote ya huyu jaji. Kuna mengi umeyaacha. Mimi ni mdogo nashindwa kuyadurusu yote. Ila miaka miwili iliyopita nilikutana na huyu jaji Kigoma, alipata kusimulia mengi sana hadi kufikia kujiuzulu nafasi yake. Kuna vitisho vingi alipata kwenye utawala wa mwalimu. Natamani maandishi...
  18. Ngalikivembu

    Maandishi ya Ahmed Rajab Kuhusu Historia ya Maisha ya Zamani Zanzibar

    Na Ahmed Rajab TWAYIB! Imeingia Ramadhani na tupo barazani. Sijui kwanini Ramadhani hii inanikumbusha ya 1964 mwaka ulioiweka njia panda historia ya Zanzibar. Mapinduzi yalikuwa bado mabichi, hayakutimu hata mwezi, ulipoandama mwezi wa mfungo wa Ramadhani. Sizisahau siku hizo za mwanzomwanzo...
Back
Top Bottom