Mama K, ni kama nakuona kwa kushoto nyuma ya hii ndume inayoingia vyama kukinga njaa. Nakuona unachungulia kwa makini sana. Ni vyema ukaanza kuweka ile miwani inayona mbali kwani hicho cheupe kilichosimama kando ya hiyo ndume ya nyumbani ni hatari sana, hata simama yake ni ushahidi tosha...
NENDA SHULE MKU, ACHA MALALAMIKO. HAYO MAKABILA UNAYOYATAJA WAKO MBALI BWANA. NENDA BOSWANA UTAWAKUTA NI MAKONSALTANI MAHOSPITALINI NA KWENYE MIRADI YA KIMATAIFA. NENDA MAREKANI NA HATA CHINA. wAMESAMBAA DUNIANI SHAURI YA KULA KITABU. WEWE KALAGABAHO KWA MAWAZO FINYU YA KUONA UCHAGA TU. THINK...
Mkolawake, nakubaliana na wewe 100%. Infact yule aliyeipeleka Koran kukojolewa pamoja na baba yake aliyemruhusu mtoto asiye na akili kubeba Koran Tukufu wangekuwa washitakiwa namba moja. Yule aliyeikojolea angekuwa shahidi tu. Wewe unapeleka kitabu chako unachokithamini kwa mtu ambaye wala...
Wewe kweli kweli hutaki kutumia akili aliyotugea Mwenyezi Mungu. Majamaa haya ndiyo yaliyomsulubu, sasa unashauri baaba ya kuponea chupuchupu, ajipeleke kwao mwenyewe ili wakamalize kazi.
Au wewe ni mmoja wao waliomsulubu UL? manake lugha yako ni kama wao!!! Aliposhirikiana nao, mpaka kuitikia...
Bwana Chama, mbona unaropoka tu hutoi pointi yoyote kwa unayoyapinga? Unaposema "kuna mengi ambayo serikali imechangia" mbona huyataji. Bwana Mohamed Mtoi kataja matatizo mengi ya hakika ambayo waislamu wanahitajika kuyafanyia kazi wewe unalaumu tu. WEWE NADHANI NI SEHEMU YA TATIZO.
Hivi sisi waislamu kwanini tunakuwa vyanzo vya vurugu. Kwani huyu Mungu wetu tunayemsujudia hana uwezo wa kuadhibu mwenyewe watu wanaochezea vitu vyake vitakatifu? MPAKA SISI WALA KITI MOTO NA WALEVI tumsaidie? Wafanyabiashara wanatushitaki kuwa wakati wa Ramadhani biashara ya KITIMOTO...
Hiyo ndio kweli 100%. Watu milioni moja ndani ya watu zaidi ya milioni 40 (2.5%) wanaleta chokochoko " hatutaki muungano, hatutaki muungano". Hawa ni sawa na wilaya moja tu ya Magu. Basi nadhani suluhisho ni moja tu SERIKALI MOJA na kulingana na idadi ya watu wanaweza kuwa WILAYA. Nadhani hawa...
Hivi unapowaangalia hawa wanafanana na wasomi wa elimu ya juu? Hata wa magamba hawafanani hivyo. Hawa ni zaidi ya magamba. Hawa ni watu wenye njaa tu. Wamelambishwa halua sasa wanakimbia barabarani wakicheka ovyo. Mwanaharakati gani anachekea huku Watanzania wakidhalilika kwa kulala chini wakiwa...
Her head is full of "manyanya" What else would you have expected from a head of tomatoes. Remember the plural for nyanya is nyanya. They are called manyanya only when they are rotten and possibly in the dustbin.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.