Mzee Msemakweli
Senior Member
- Oct 12, 2010
- 159
- 34
amesema waislam wana mgogoro na serikali,ni upi tena? mbona waislam kuiba na kuharibu makanisa hasemei hayo? lkn kwa kuwa chama chao kina hisa na pondo ndio maana,lipumbav ni mdini sana na ndio maana prof Abdala alivyotambua hilo akaikimbia KAFA.[/QUOT
Kiukweli UDINI ni kitu kibaya sana. Prof. Lipumba pamoja na elimu yake yote ametumbukia kwenye mtego wa Kidini. Hawezi kumshabikia Gaidi Ponda eti kwa SABABU ni Muislam mwenzake. Mbona hakutoa tamko wakati Waislam walivyoyachoma Makanisa? Toka Makanisa yaanze kuchomwa ni mda mrefu sana umeshapita bila hata kusikia tamko lolote kutoka CUF. Nimeamini kuwa CUF ni Chama cha Kidini.
Heshima yangu yote kwa Prof nimeitoa maana Elimu haijamsaidia kabisa. Yule kijana aliyeikojolea Kuruani mbona hajatoka hadi sasa? Hakuna tamko lolote kutoka kwa Prof Lipumba wala Chama Chake? Kweli Waislam hawana Wasomi maana kama mtu kama Lipumba anaongea kama mtu wa vijiweni nini tofauti ya yeye kuwa msomi?