Wana jf, Mimi ni mjasiliamali mdogo mwenye mtaji unaokaribia millioni 10, nataka nibadili biashara hii nifanyayo na kuanza kuuza gas za ORYX au Lake gas. Kwa kweli sifahamu taratibu zozote za kufuata niweze kuuza hii product kutoka kwenye kampuni hizi. Mwenye ufahamu cha kufanya anijuze plz.
Jamaa aliekua na wema ana undugu na kigogo wa juu hapa nchini, ila namsikitikia kwani "HILO NI JIKO LA SHAMBA HALICHAGUI KUNI" matete, maboriti, mbuyu, twende tuu!!!!!!!!!!
JUST LISTEN VIEWS OR IDEAS FROM DR. DAMBISA MOYO (ZAMBIAN) ON HOW ABROAD AID TO AFRICA IS NOT WORKING?
SHE IS AUTHOR OF THE BOOK "DEAD AID"
Why Aid to Africa is Not Working - YouTube
Pole sana, ila shule za secondary zipo nyingi tuu, nenda kafundishe. eg peleka CV yako na vyeti na barua ya maombi pale wizara ya Elimu wakupangie shule. ila uking'ang'ania dar ndugu utakwama. anza na ualimu then michongo mingine baaadae.
Jamani huku kenya waalimu wana mgogoro na serikali wanataka waongezewe salary kwa 300% yaani from Ksh.24000 to 72000. wako serious kwelikweli. Nanyi TZ kazeni kamba ili mziilishe kuwa vichwa vyenu sio vya kuoteshea nywele tuu. LIWALO NA LIWE.
Hii kozi ni nzuri sana, lakini kwa TZ ni vigumu sana kupata kazi kwenye Halmashauri za (w) ambazo ndo zinachukua graduate wengi, kiufupi hakuna ngazi yako katika Halmashauri za (w). eg Halmashauri zinachuua waalim, madaktari mabwana mifugo etc. ila kuanzia mwaka jana baadhi ya wizara zimeanza...
Ni kweli Dodoma Central ilipungua vigezo, lakini wizara ingefanya jitihada kuakikisha secondary ile inaboreshwa,. kuifunga ni kuwakosea wanaosoma na kufanya kazi pale. Labda kuna fisadi anataka lile eneo pale ashushe mjengo. let us wait and see.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.