Iko hivii, kwanini pepsi inapendwa sana siku hizi kuliko vinywaji vingine vya cocacola kama zamani zilivyokua zinapendwa. Tatizo lilianzia kwenye bei, kuna kipindi soda za coca zilipandisha bei mpaka miasita 600, na pepsi pia,,, lakini pepsi akaona fursa kwa watu baada ya kuona hawakupendezwa na...
nilifanya kazi kiwandani kama kibarua ili nipate connection ya kufika juu nipeleke makaratasi yangu ili iwe rahisi kupewa kwa sababu nimeanza chini na ni mfanyakazi wao, mamaee nilisota miezi 6, bila mafanikio, kazi ngumu hatari, ukilala siku moja hela huna, unajitahidi ufanye kazi hadi overtime...
nilifanya kazi kiwandani kama kibarua ili nipate connection ya kufika juu nipeleke makaratasi yangu ili iwe rahisi kupewa kwa sababu nimeanza chini na ni mfanyakazi wao, mamaee nilisota miezi 6, bila mafanikio, kazi ngumu hatari, ukilala siku moja hela huna, unajitahidi ufanye kazi hadi overtime...
hakumtuhumu kwa uongo, inasemekana mama alivyokua chuoni alikua na mpenzi wa siri huku akiwa kwenye ndoa, na huyo mpenzi wa siri akampa maradhi ya zinaa, na yeye kuyabeba kumpelekea mumewe kumuambukiza,, ila mzee inasemekana alikua akihisi hayo mahusiano,, kosa mke kusema ukweli kwa mumewe...
kwetu mayalla ni njaa, kwahiyo tunajua kwamba njaa inakusumbua, unajipendekeza ili upate uteuzi wa hata DC, ila ndo hivyo mzee ashakupa kichogo[emoji23][emoji23] wewe umebaki[emoji706]
Nishafinywa usiku na mtu nisiemuona, nishapigwa makofi na mtu nisiemuona mchana kweupe nyuma ya nyumba yetu nikiwa nimelala kwenye mkeka, na mwisho tushamdaka mchawi usiku hakuganduka ndani pale sebuleni mpaka shangaz yetu mtaalam alivyokuja kumgandua, na nyumba tuliikimbia baada ya shangaz...
Upambanie nchi wakati hujajiimarisha kudhibiti vikwazo watakavyokuwekea, mfano wakikata misaada ya dawa za TB, ARV, MALARIA utapoteza ndugu wangapi katika ukoo wenu, kwa sababu tu ya kuwatetea wachumia tumbo na familia zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.