mtoa post aliyekutuma mwambie umebugi kwa hilo watu wote huwa tunaona anaye tetea wana nchi ni nani leo nakuja na hadidhi za kale hapa.hivi huwa mnatuona watz hamnazo kabisa.kila usiku mnageuza uongo kuwa ukweli .
Mm najua kabisa kesho ngoma bado nzito.bado yupo Lema ,Sugu ,Weje na wengine wengi nakesho kamati ya maadili wajiandee tu kufukuza wengine P.Powerrrrrtrt
Ndugu kitu usichokijua ni usipende sana kuweka wazi ujinga wako mble za watu.Kuhusu hizo shule za kata unazosema EL hakuna hata moja analojivunia ndani ya moyo wake.make mlandi huo uliletwa na nchi za magharibi kwa lengo maalum.Nalengo hilo tayari limefanikiwa kwa % kubwa sna utalijua October...
kama zzk hutaki madaraka kwanini hukujiunga na chama kingine ambacho kina uongozi tayari.Utakao wandanganya hawazidi % 0.002 ya watz.Utawandanganya watz lakini huwezi kuwandanganya watz wakati wote unajisumbua bure.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.