Habari wakuu!!
Naomba kuuliza haya makampuni yaliokithiri kila kona siku za karibuni
Yanatoa viwanja na mashamba kwa kulipa kidogo kidogo,,yan ukweli ndani yake??kuna mtu alishajaribu,,maana hadi saba saba walikuwepo na mabanda yao ila bado roho inasita ila wamenitamanisha,eb funguken wakuu...
Hiki kitu nilikuwa sijakifahamu, Baada ya juzi kati natengeneza campaigns kwe admobs za app zangu nakuta total reach ya wa TZ wenye uwezo wa kudownload app ni only 1.3M,,,!! hapo sijatoa wale hawajui hata playstore ni nini, kaz zao ni kupiha na kupokea simu na kuchat whatsapp,cjaweka wale simu...
1.Kwa anayhitaji adsense Ac anicheki ,ni Mpya kwa Sh elf 50 tu Moja
-mbinu za kukuza RPM pamoja na mapato utapewa
-na namna ya kuepuka kufungiwa hovyo
2.Anayehitaji group la facebook Lina members elf 60, kwa shilling elf 50! Tu
link hii hapa BOFYA HAPA
3.Bloggers tatizo la Google kufuta...
Nipo Dar,Nina Basic knowledge ya language kama HTML,pascal na java kidogo.So nilihitaji mtu anayejua android development anipe class na nitaongea na wenzangu tujikusanye kwa pamoja.So if interested check me 0755801248
Au kama unajua mtu anayefahamu tujulishane,
Ahsanteni
nauza ipad3 nyeupe 370000hii ipo kwenye hali ya upya bado imetumika kidogo.
GB 16 retina display
wiffi support
haingii line
..Pia ipo ipad3 nyeusi yenye GB64 nauza 450k
piga kwa maelezo zaidi
0755801248
Nipo dar ,Nina ipad3 zipo mblili moja black na moja white zipo kwenye hali nzuri hazijatumika hata mwezi mmoja..
zinatumia wifi \
Black-64gb nauza laki5
white 16gb nauza laki4
0755801248
Kama upo tayari kufanya kazi ya kushare links zangu za blog kwenye groups za facebook nicheki....
Ac za facebook na magroup vyote nakupa ni wewe tu kupiga kazi na pageviews 1000 nakupa 1000tsh,,,,kwaiyo ukiniletea views 15,ooo unapta 15k tsh....ni wewe kusema unataka kwa week au kwa siku,,,ka...
Kama upo tayari kufanya kazi ya kushare links zangu za blog kwenye groups za facebook nicheki....
Ac za facebook na magroup vyote nakupa ni wewe tu kupiga kazi na pageviews 1000 nakupa 1000tsh,,,,kwaiyo ukiniletea views 15,ooo unapta 15k tsh....ni wewe kusema unataka kwa week au kwa siku,,,ka...
Mim ni mjasiriamali mtandaoni....
Nina shida na vijana wawili wa haraka kwa ajili ya kufanya kazi katika blog zangu sana sana wanafunzi au mtu kama huna mambo mengi unaruhusiwa ila muaminifu...Malipo ni juhudi zako mwenyewe.
Utaratibu upo hivi Nakupa Ac za facebook na magroup yake then...
Mim ni mjasiriamali mtandaoni....Nina shida na vijana wawili wa haraka kwa ajili ya kufanya kazi katika blog zangu sana sana wanafunzi au mtu kama huna mambo mengi unaruhusiwa ila muaminifu...Malipo ni juhudi zako mwenyewe.
Utaratibu upo hivi Nakupa Ac za facebook na magroup yake then...
Niaje wakuu..Salaam kwenu
Nahitaji ac facebook zenye mda kuanzia miez 6..kwa mweye nayo/nazo anitafute tuongee biashara nna kazi nazo sio kwa nia mbaya ni kwa ajili ya kufanya shughuli zangu za bloging....Shukrani ..Naomba ni PM
Kuna jamaa kajifanya mjanja hapa JF tumefanya biashara Nikampa mzigo wake akanitumia hela ilikua saa 4 usiku nikasema nikaitoe hiyo pesa kesho yake coz ilikua usiku sana..sasa yeye baada ya kupokea mzigo akapiga huduma kwa wateja kuwa amekosea kutuma pesa sasa so pesa ikarudishwa kwenye line...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.