mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25... hapo mwanzo nlikuwa na mpenzi wangu bahati mbaya mwaka jana mnamo august tukaachana.. sasa kwa hasira nkaanza tabia ya kutembea na makahaba. siku ya kwanza ilikuwa itigi sehemu maarufu sana morogoro.nikiwa pale nilikaa peke yangu nikiwaA hili na lile...
In short, I would tell her that "what you are saying is not true,in real your mother is not sick and she is here at our home".Then I will beat her ,that is my opinion
tatizo unabisha kitu usichokielewa ni hiv huyo jamaa ni continuing na alikuwa hana mkopo so ameapply mwaka huu! matokeo hayajatoka bado mpaka novemba kama unabisha endelea kubisha ila uhalisia ndo huo!
siyo kweli unadanganya umma, kiukweli kwa continuing walioomba mkopo matokeo yanatoka novemba kuanzia tareh 15 na kuendelea! Kwa sababu yanashughulikiwa baada ya hawa wengine,hayo unayosema ni yale wale continuing waliyokuwa wanapata mkopo
ratiiba mbovuu
kiukweli kwa muda ambao dmond alipanda jukwaani people walikuwa wamechoka sana so mzuka ulikata,kudhibitisha hilo hata davido alivyopanda people zilitulia 2 kwa kuwa wamesimama muda mrefu sana mpaka wamechoka
na kingine clouds wameingiza mkono yao,mfano mdogo pale dj feti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.