Nahitaji laptop used aina kati ya hp, dell, lenovo na toshiba yenye hard disk kuanzia gb250 kwenda juu,,, ofa yangu ni sh 250,000 napatikana kwa namba 0779575664 nipo dsm
Samahani wanajamvi mimi nina swali na pia nisaidiwe:, Nina ndugu yangu yupo kituo cha polisi kwa kosa la kununua mali ya wizi:-
Swali 1. Je naweza kupata dhamana yake?
Swali 2. Je naweza kupata namna nzuri ya kumaliza kesi yake
Swali 3. Je ni haki kukaa pale kituoni kwa siku mbili sasa
Tatizo...
Jaman sory naomba kuuliza kuwa suala la boom kwa first year tunapata lin? Mana me nimeripot hapa udom tar. 30/10 lakn mpaka sasa cjapata boom langu na maisha yashaanza kuwa magumu. Naomben majibu kama watu wa udoso mnamaelezo mazur yenye uhakika au ukitaka niulza kwa kina my no. 0764717864
Jaman wadau kwa muda uliopita nilikuwa nalia na tcu kwa mambo ambayo wamenfanyia lakn nikanyamaza sasa npo chuo ambacho nakipenda lakn koz yake siipend sabab nilifanya 2round aplc so nilifanya wrong choice niw kwenye system so npo UDOM Kwa coz ya BAGE Bch. Of art in geog and envrnmental study me...
Habari wakuu,
Daa! Nchi yetu ni noma hawa jamaa wa TCU vp mbona hawatoi afu wanapiga calender kwa sasa npo TCU afu naambiwa leo jion cjui kama watatoa tumuombe MUNGU!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.