Ukweli na usemwe.
Meli kuongezeka bandari yoyote ni jambo linalotamaniwa na kila mdau wa bandari. ni basi tu huku kwetu watu wanapenda kulaumiana kama sehemu ya kutatua changamoto
bila shaka mkuu. tutafanya hivyo katika makala zetu zijazo. ilikuwa ni muhimu sana kupeana hii General overview ili watu wetu wajue faida za meli wanazoziona tofauti na ilivyokuwa
hoja yako imejengwa na hofu na wasiwasi. makala yetu inahusu Changamoto za Bandari ya Dar zinazotokana na maendeleo na si vinginevyo. sisi kama Taifa lazima tukubali kuwa kila tunapopiga hatua katika ufanisi kwenye jambo fulani, na changamoto nazo hufuata. ndio msingi wa aliyeandaa makala hii...
Sidhani kama ni uzembe ni swala dogo sana na jepesi kuhusu namba. kama magati yapo 12 na meli zilizotia nanga ni 30 automatically meli 16 plus zitakuwa zinasubiri wenzake washushe...a simple logic ni kama shuleni tu tunavyopeanaga zamu wengine wanaingia asubuhi wengine mchana. kwenye Bandari...
Inawezekana sana tu na inaendelea kufanywa na watanzania. wawekezaji wanaoimbwa wamekaribishwa katika GATI NNE tu au TANO kati ya GATI 12 tulizonazo pale DAR PORT
BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.