Search results

  1. fimbo ya mpera

    Propaganda za bandari ya Mombasa zafika mwisho

    Biashara ya bandari ina somo kubwa sana ambalo ni budi wengi wakalifahamu.
  2. fimbo ya mpera

    Propaganda za bandari ya Mombasa zafika mwisho

    Ukweli na usemwe. Meli kuongezeka bandari yoyote ni jambo linalotamaniwa na kila mdau wa bandari. ni basi tu huku kwetu watu wanapenda kulaumiana kama sehemu ya kutatua changamoto
  3. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    popote ulipo upate PEPSI BARIDIIIIII
  4. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    na ndio maana tunasema kuwa DAR PORT kwa sasa inanufaika na kukimbiliwa na meli nyingi kutoka maeneo mbalimbali Duniani
  5. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    tuendelee kuelimishana kwa kubadilishana maarifa kama haya. hii ndio maana halisi ya JF
  6. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    bila shaka mkuu. tutafanya hivyo katika makala zetu zijazo. ilikuwa ni muhimu sana kupeana hii General overview ili watu wetu wajue faida za meli wanazoziona tofauti na ilivyokuwa
  7. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    hoja yako imejengwa na hofu na wasiwasi. makala yetu inahusu Changamoto za Bandari ya Dar zinazotokana na maendeleo na si vinginevyo. sisi kama Taifa lazima tukubali kuwa kila tunapopiga hatua katika ufanisi kwenye jambo fulani, na changamoto nazo hufuata. ndio msingi wa aliyeandaa makala hii...
  8. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    MSONGAMANO sio sawa na wingi...Bandari ya DAR imepokea meli nyingi haina msongamano wa meli
  9. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Na hizo ndio fursa ambazo watanzania na wasio watanzania tunapaswa kuzichungulia kwa haraka.
  10. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Msongamano unaoingiza pesa ni mzuri kuliko unavyoweza kufikiri
  11. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Sidhani kama ni uzembe ni swala dogo sana na jepesi kuhusu namba. kama magati yapo 12 na meli zilizotia nanga ni 30 automatically meli 16 plus zitakuwa zinasubiri wenzake washushe...a simple logic ni kama shuleni tu tunavyopeanaga zamu wengine wanaingia asubuhi wengine mchana. kwenye Bandari...
  12. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Inawezekana sana tu na inaendelea kufanywa na watanzania. wawekezaji wanaoimbwa wamekaribishwa katika GATI NNE tu au TANO kati ya GATI 12 tulizonazo pale DAR PORT
  13. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Makala imeonyesha hatua zote ambazo Bandari inapitia. msongamano na wingi wa wateja ni vitu viwili tofauti
  14. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Inahusiana pia na ufanisi au changamoto za bandari?
  15. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    Lugha nyepesi kutumika na kueleweka ni kuwa Bandari yetu imefanikiwa kukuwa na kwa mantiki hiyo ni lazima uwekezaji uongezeke
  16. fimbo ya mpera

    Bandari ya Dar es Salaam ina changamoto za Mafanikio

    BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika...
Back
Top Bottom