Bandari ya Dar yazidiwa na wingi wa meli zinazosubiria. Baadhi ya Meli zimeanza kupelekwa Bandari ya Mombasa

Naiomba mamlaka husika itoe ruhusa, meli zipite nchi kavu kwenye hizi barabara zetu za lami zikatokee ziwa victoria, na maziwa mengine ili kupisha meli zingn asanten kwa kunisikiliza
 
Kwa mujibu wa jarida la The Standard likinukuu taarifa Kutoka The Ports of Africa ni kwamba Bandari ya Dar imezidiwa na meli kiasi kwamba hadi jumanne ya wiki hii ya Disemba kulikuwa na meli 38 zinazosubiria kushusha mzigo.

Aidha imefikia mahala muda wa kusubiria unafikia siku 30 jambo ambalo limeleta hofu ya gharama za kukomboa bidhaa.

Kutokana na Hali hiyo ,meli nyingi ambazo zilikuwa zitie nanga kwenye Bandari ya Dar zikiwa na mzigo wa Tanzania na Nchi majirani zimelazimika kuanza kwenda kushushia mizigo Bandari ya Mombasa Kenya ambayo inaonekana Ina nafasi.

Ikumbukwe hii ni disemba ambayo Huwa na mizigo Mingi sana Kwa Ajili ya matumizi ya msimu wa mwisho wa mwaka lakini TPA hawafanyi jitihada za kukabiliana na seasoned cargo volumes.Huku ni Kuchezea Uchumi wa Nchi kama sio hujuma.

Swali Kwa Mamlaka na TPA.

Hivi mumeshindwa kabisa kuondoa tatizo la msongamano ambao unaongea gharama za bidhaa na kutatuza Ufanisi wa Bandari yetu?

Kama tatizo ni nafasi ndogo ya Hiyo Bandari, Serikali inajivita vuta Kwa nini kuanza Ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo?

Uchumi unazidi kukua wa ndani ya Nchi na Nchi jirani aelfu ya mizigo yatalazimika kupita hapo Sasa mbona sioni jitihada za kuwa mbele ya mda badala yake tunafanya kazi ya zima moto?

Kama shida ni uchache wa gati na space ndogo ya Bandari sitarajii Ufanisi wowote kutoka DP World Kwa sababu tatizo la msingi ni ufinyu wa nafasi.

Ni jambo la kusikitisha kwamba tunafukuzana na wauza mikaa,mama ntilie nk wakati tunachezea Uchumi wa Jiografia Kupitia Bandari zetu.

Inasikitisha sana.

View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1732724180854993029?t=QEC5GMSCcoQNO8FW0fWYnw&s=19

Kuna mtu juzi nilipandanae daladala akawa anaongea na simu huko kuna mtu anamsimulia juu ya adha ya badlndarini kwasasa kuwa pamehelemewa haswa! Maana gati zilizobaki hazitoshi kuhudumia meli huyo waliempa anaejiita DP WORLD hajaanza kazi hivo meli zimekosa sehemu ata ya kuegesha inabidi zisubr ata wiki 3 kutia nanga.
 
Meli haiwezi ikabadili (Port of Discharge) bandari ya kushushia mzigo kisa foleni ya gati. Changamoto za meli kukaa nje muda mwingine usababishwa na sababu za hali ya hewa kwa meli zenye mizigo ya kichele(bulk cargoes).
Huyo yupo hapa kukashifu peke yake na sidhani anajua maana ya 'port of discharge' na hata kama anajua, huwa anapuuza na kujiondoa ufahamu pale mtu unapokuja na hoja kinzani na yake...alimradi jumbe lake kuu au mada kuu limefika huwa anajifanya anashangaa shangaa.
 
Huyo yupo hapa kukashifu peke yake na sidhani anajua maana ya 'port of discharge' na hata kama anajua, huwa anapuuza na kujiondoa ufahamu pale mtu unapokuja na hoja kinzani na yake...alimradi jumbe lake kuu au mada kuu limefika huwa anajifanya anashangaa shangaa.
Hawajui kuwa kutakuwa na extra cost, Port of Discharge ni Dar ukashushe mizigo Mombasa kisha usafirishe mpaka Dar
 
Kwa mujibu wa jarida la The Standard likinukuu taarifa Kutoka The Ports of Africa ni kwamba Bandari ya Dar imezidiwa na meli kiasi kwamba hadi jumanne ya wiki hii ya Disemba kulikuwa na meli 38 zinazosubiria kushusha mzigo.

Aidha imefikia mahala muda wa kusubiria unafikia siku 30 jambo ambalo limeleta hofu ya gharama za kukomboa bidhaa.

Kutokana na Hali hiyo, meli nyingi ambazo zilikuwa zitie nanga kwenye Bandari ya Dar zikiwa na mzigo wa Tanzania na Nchi majirani zimelazimika kuanza kwenda kushushia mizigo Bandari ya Mombasa Kenya ambayo inaonekana Ina nafasi.

Ikumbukwe hii ni disemba ambayo Huwa na mizigo Mingi sana Kwa Ajili ya matumizi ya msimu wa mwisho wa mwaka lakini TPA hawafanyi jitihada za kukabiliana na seasoned cargo volumes.Huku ni Kuchezea Uchumi wa Nchi kama sio hujuma.

Swali Kwa Mamlaka na TPA.

Hivi mumeshindwa kabisa kuondoa tatizo la msongamano ambao unaongea gharama za bidhaa na kutatuza Ufanisi wa Bandari yetu?

Kama tatizo ni nafasi ndogo ya Hiyo Bandari, Serikali inajivita vuta Kwa nini kuanza Ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo?

Uchumi unazidi kukua wa ndani ya Nchi na Nchi jirani aelfu ya mizigo yatalazimika kupita hapo Sasa mbona sioni jitihada za kuwa mbele ya mda badala yake tunafanya kazi ya zima moto?

Kama shida ni uchache wa gati na space ndogo ya Bandari sitarajii Ufanisi wowote kutoka DP World Kwa sababu tatizo la msingi ni ufinyu wa nafasi.

Ni jambo la kusikitisha kwamba tunafukuzana na wauza mikaa,mama ntilie nk wakati tunachezea Uchumi wa Jiografia Kupitia Bandari zetu.

Inasikitisha sana.

View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1732724180854993029?t=QEC5GMSCcoQNO8FW0fWYnw&s=19

Mbona suluhisho la tatizo tayari? Tumeshaigawa bandari kqa dpw sasa tpa wa kazi gani tena?
 
Kwa mujibu wa jarida la The Standard likinukuu taarifa Kutoka The Ports of Africa ni kwamba Bandari ya Dar imezidiwa na meli kiasi kwamba hadi jumanne ya wiki hii ya Disemba kulikuwa na meli 38 zinazosubiria kushusha mzigo.

Aidha imefikia mahala muda wa kusubiria unafikia siku 30 jambo ambalo limeleta hofu ya gharama za kukomboa bidhaa.

Kutokana na Hali hiyo, meli nyingi ambazo zilikuwa zitie nanga kwenye Bandari ya Dar zikiwa na mzigo wa Tanzania na Nchi majirani zimelazimika kuanza kwenda kushushia mizigo Bandari ya Mombasa Kenya ambayo inaonekana Ina nafasi.

Ikumbukwe hii ni disemba ambayo Huwa na mizigo Mingi sana Kwa Ajili ya matumizi ya msimu wa mwisho wa mwaka lakini TPA hawafanyi jitihada za kukabiliana na seasoned cargo volumes.Huku ni Kuchezea Uchumi wa Nchi kama sio hujuma.

Swali Kwa Mamlaka na TPA.

Hivi mumeshindwa kabisa kuondoa tatizo la msongamano ambao unaongea gharama za bidhaa na kutatuza Ufanisi wa Bandari yetu?

Kama tatizo ni nafasi ndogo ya Hiyo Bandari, Serikali inajivita vuta Kwa nini kuanza Ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo?

Uchumi unazidi kukua wa ndani ya Nchi na Nchi jirani aelfu ya mizigo yatalazimika kupita hapo Sasa mbona sioni jitihada za kuwa mbele ya mda badala yake tunafanya kazi ya zima moto?

Kama shida ni uchache wa gati na space ndogo ya Bandari sitarajii Ufanisi wowote kutoka DP World Kwa sababu tatizo la msingi ni ufinyu wa nafasi.

Ni jambo la kusikitisha kwamba tunafukuzana na wauza mikaa,mama ntilie nk wakati tunachezea Uchumi wa Jiografia Kupitia Bandari zetu.

Inasikitisha sana.

View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1732724180854993029?t=QEC5GMSCcoQNO8FW0fWYnw&s=19
 
Kwa mujibu wa jarida la The Standard likinukuu taarifa Kutoka The Ports of Africa ni kwamba Bandari ya Dar imezidiwa na meli kiasi kwamba hadi jumanne ya wiki hii ya Disemba kulikuwa na meli 38 zinazosubiria kushusha mzigo.

Aidha imefikia mahala muda wa kusubiria unafikia siku 30 jambo ambalo limeleta hofu ya gharama za kukomboa bidhaa.

Kutokana na Hali hiyo, meli nyingi ambazo zilikuwa zitie nanga kwenye Bandari ya Dar zikiwa na mzigo wa Tanzania na Nchi majirani zimelazimika kuanza kwenda kushushia mizigo Bandari ya Mombasa Kenya ambayo inaonekana Ina nafasi.

Ikumbukwe hii ni disemba ambayo Huwa na mizigo Mingi sana Kwa Ajili ya matumizi ya msimu wa mwisho wa mwaka lakini TPA hawafanyi jitihada za kukabiliana na seasoned cargo volumes.Huku ni Kuchezea Uchumi wa Nchi kama sio hujuma.

Swali Kwa Mamlaka na TPA.

Hivi mumeshindwa kabisa kuondoa tatizo la msongamano ambao unaongea gharama za bidhaa na kutatuza Ufanisi wa Bandari yetu?

Kama tatizo ni nafasi ndogo ya Hiyo Bandari, Serikali inajivita vuta Kwa nini kuanza Ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo?

Uchumi unazidi kukua wa ndani ya Nchi na Nchi jirani aelfu ya mizigo yatalazimika kupita hapo Sasa mbona sioni jitihada za kuwa mbele ya mda badala yake tunafanya kazi ya zima moto?

Kama shida ni uchache wa gati na space ndogo ya Bandari sitarajii Ufanisi wowote kutoka DP World Kwa sababu tatizo la msingi ni ufinyu wa nafasi.

Ni jambo la kusikitisha kwamba tunafukuzana na wauza mikaa,mama ntilie nk wakati tunachezea Uchumi wa Jiografia Kupitia Bandari zetu.

Inasikitisha sana.

View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1732724180854993029?t=QEC5GMSCcoQNO8FW0fWYnw&s=19

Uwepo wa meli nyingi katika Bandari ya Dar es Salaam ni neema kubwa kwa uchumi wa nchi. Rai yangu kwa TPA waongeze ufanisi, vifaa na mashine za kupakia na kupakua shehena.

Kwa huduma ya Clearing & Forwarding kwa mizigo aina yote, karibu Ruaha Freight Ltd,
Wasiliana nasi;

Ruaha Freight Ltd,
Umati building 3rd Floor, Room No 18 Samora Avenue / zanaki street Dar es Salaam. P.O.Box 62442
Dar es Salaam
.
Email: info@ruahafreight.com
Website: www.ruahafreight.com
Tel: +255222128447

Mob: +255718 866 651 (call or whatsapp).
 
Kwa hiyo unajaribu kusema kuwa baada ya kazia hii suluhu ndio ikawa kuigawa bure hii bandari kwa DPW? Yani hili ndilo unalojaribu tutushawishi ndilo suluhu pekee kabisa?
Kanatafuta ukuu wa wilaya tu
 
Saa itakuaje wakati nyie werevu hamjapendekeza suluhisho Wala hamjajitokeza Kugombea Uongozi
Si wajinga wa kijani wameshika hatamu, lazima ufanane nao ndio ugombee...wa upande wa pili ni ChAWa, wameshikiwa bongo na kijaniz
 
Kwa mujibu wa jarida la The Standard likinukuu taarifa Kutoka The Ports of Africa ni kwamba Bandari ya Dar imezidiwa na meli kiasi kwamba hadi jumanne ya wiki hii ya Disemba kulikuwa na meli 38 zinazosubiria kushusha mzigo.

Aidha imefikia mahala muda wa kusubiria unafikia siku 30 jambo ambalo limeleta hofu ya gharama za kukomboa bidhaa.

Kutokana na Hali hiyo, meli nyingi ambazo zilikuwa zitie nanga kwenye Bandari ya Dar zikiwa na mzigo wa Tanzania na Nchi majirani zimelazimika kuanza kwenda kushushia mizigo Bandari ya Mombasa Kenya ambayo inaonekana Ina nafasi.

Ikumbukwe hii ni disemba ambayo Huwa na mizigo Mingi sana Kwa Ajili ya matumizi ya msimu wa mwisho wa mwaka lakini TPA hawafanyi jitihada za kukabiliana na seasoned cargo volumes.Huku ni Kuchezea Uchumi wa Nchi kama sio hujuma.

Swali Kwa Mamlaka na TPA.

Hivi mumeshindwa kabisa kuondoa tatizo la msongamano ambao unaongea gharama za bidhaa na kutatuza Ufanisi wa Bandari yetu?

Kama tatizo ni nafasi ndogo ya Hiyo Bandari, Serikali inajivita vuta Kwa nini kuanza Ujenzi wa Bandari kubwa ya Bagamoyo?

Uchumi unazidi kukua wa ndani ya Nchi na Nchi jirani aelfu ya mizigo yatalazimika kupita hapo Sasa mbona sioni jitihada za kuwa mbele ya mda badala yake tunafanya kazi ya zima moto?

Kama shida ni uchache wa gati na space ndogo ya Bandari sitarajii Ufanisi wowote kutoka DP World Kwa sababu tatizo la msingi ni ufinyu wa nafasi.

Ni jambo la kusikitisha kwamba tunafukuzana na wauza mikaa,mama ntilie nk wakati tunachezea Uchumi wa Jiografia Kupitia Bandari zetu.

Inasikitisha sana.

View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1732724180854993029?t=QEC5GMSCcoQNO8FW0fWYnw&s=19

please read carefull
MOMBASA.jpg
 
Back
Top Bottom