msongamano unaoingiza pesa ni mzuri kuliko unavyoweza kufikiri
..utakuingizia pesa kwa muda fulani, baadae hao wateja watakimbilia bandari isiyo na msongamano.
msongamano unaoingiza pesa ni mzuri kuliko unavyoweza kufikiri
ogopa sana kuongozwa na hisia , sio Tz tu imetoa bandari kuongozwa na watu wengine zipo nyingi tu na maisha yanaenda. zile kelele za wachumia tumbo kina Dr slaa na wenzake zinakuchanganyaBaada ya maboresho hayo yalio asisiwa na watanzania na kutekelezwa na watanzania , je kweli hatua inayo fuata haiwezi kufanywa na watanzania Hadi hizo kampuni zifanye hiyo kazi, au ndio kuwezeshana kununua nyumba dubai na masaki za matrillioni ya madafu
tusemeje sasa kaingia cha kike au cha kiume
Sasa wewe unafikiri hayo mabadiliko yameletwa na DP World au tayari serikali ilikuwa imeshawekeza kwenye miundombinu muda mrefu uliopita?Hu Uzi ukiusoma kwa umakini sidhani kama utasikiliza kelele za wapotoshaji kuhusu bandari Dar. Nyumbu kwenye huu Uzi watapita kama upepo
PendoLyimo unaiona hii! Ni aibu tupuTheoretically uko sawa, lakini bado kuna uzembe kwenye upakuaji meli. Meli kwa Dar es Salaam inachukua hadi siku 16 kupakuliwa wakati Mombasa ni siku 2. Wakenya wanatucheka sana. Tena wanadai kuna Watanzania wameamua kupitisha mizigo yao Mombasa.
Bandari yetu ya Dar es salaam iko karibu na Congo, Zambia, Malawi, Burundi, Rwanda na Uganda kuliko Bandari ya Mombasa. Bandari hii inazidiwa na Mombasa mara 2 kiufanisi Kama Serikali ingefanya kazi vizuri Bandari hii inaweza kuchangia Trilion 6- 8 kwa mwaka
PendoLyimoSasa wewe unafikiri hayo mabadiliko yameletwa na DP World au tayari serikali ilikuwa imeshawekeza kwenye miundombinu muda mrefu uliopita?
Na kama ni hivyo huoni kwamba ni ujinga kwa serikali kumkabidhi mwekezaji chombo ambacho kipo tayari na kinafanya kazi vizuri aje mgawane mapato bila yeye kuweka uwekezaji wowote? Na tena awawekee masharti kibao?
Mengi ya haya yaliyoandikwa hapa ni siasa tupu! Bado meli nyingi zinazoleta mizigo ya Congo na Uganda na hata Zambia zinakimbilia Mombasa kwani Dar foleni ni kubwa mno. Akili ni kitu kizuri sana la sivyo ni kudanganywa kipumbavu.
Kaka umesoma kweli na kuelewa kilichomaanishwa au utakuwa umecompare na msongamano wa barabarani ndugufimbo ya mpera ,
Kazi ya Bandari ni kupakia na kupakua mizigo kwenye meli.
Kama kuna MSONGAMANO wa meli maana yake bandari haina vifaa vya kutosha, au ina wafanyakazi wapambe.
Bandari kama watoa huduma wanatakiwa wawafikirie WATEJA wao. Kama kuna msongamano bandarini sidhani kama wateja watakuwa wanafurahishwa na hali hiyo.
Makala inayosifia na kushangilia MSONGAMANO ktk bandari yetu sio ya kizalendo na haiko kwa maslahi ya taifa letu.
Cc Nguruvi3
Michezo ipi hiyo nduguWewe Si ulituhumiwa na musiba kujihusisha na michezo isiyo FAA?
Mbona swiss port walichukua uendeshaji pale airport ya Dar na watu mlikuwa kimya, hivi vitu vipo duniani kote na kwa faida yako tu nikwambie tu kuachiwa wazawa kujiendesha sio mbaya ila sisi vingi tulivyoachiwa kujiendesha vilikufa kifo kibaya sanaBaada ya maboresho hayo yalio asisiwa na watanzania na kutekelezwa na watanzania , je kweli hatua inayo fuata haiwezi kufanywa na watanzania Hadi hizo kampuni zifanye hiyo kazi, au ndio kuwezeshana kununua nyumba dubai na masaki za matrillioni ya madafu
hii mbaya sana kwa afya ya nchi yetu, kutuleta udini ni kuligawa taifaAmejaza waislamu wenzake hapo hakuna la maana
HakikaMbona swiss port walichukua uendeshaji pale airport ya Dar na watu mlikuwa kimya, hivi vitu vipo duniani kote na kwa faida yako tu nikwambie tu kuachiwa wazawa kujiendesha sio mbaya ila sisi vingi tulivyoachiwa kujiendesha vilikufa kifo kibaya sana
Tuendele kuvumilia tu maendeleo lazima yaje na mabadiliko
Hakika na inatafsiri kwamba bandari yetu ni chaguo Bora kwa wateja..makala uliyoileta inajenga picha kwamba MSONGAMANO ktk bandari yetu ni jambo la kujivunia, na huduma nzuri kwa WATEJA.
Tunaposemaga #MamaYukoKazini wananzengo mtuelewehakika ndugu mtoa uzi umeandika vizuri sana na hizi zote ni juhud za Rais Samia na zinapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania japo wapo wale wazee wa kupinga kila kitu wakija humu na kuona mazuri ya bandari yetu watasema unalipwa kusemea mema na mafaniko ya bandarin yetu ya DAR
Umeandika kibabe sanaTATIZO NI TRA
Hao ndiyo shida
Ova
MSONGAMANO sio sawa na wingi...Bandari ya DAR imepokea meli nyingi haina msongamano wa meli..MSONGAMANO maana yake ni inefficiency.
..hivi unafikiri WATEJA wa bandari yetu wanafurahia msongamano?
.
Katika mgawanyo wa kibiashara ni lazima kwa baadhi ya meli kwenda bandari ya Mombasa, sijaona andiko lako kuhusu meli zilikuwa zinaenda bandari ya Mombasa na zikaamishia bandari yetu.Sasa wewe unafikiri hayo mabadiliko yameletwa na DP World au tayari serikali ilikuwa imeshawekeza kwenye miundombinu muda mrefu uliopita?
Na kama ni hivyo huoni kwamba ni ujinga kwa serikali kumkabidhi mwekezaji chombo ambacho kipo tayari na kinafanya kazi vizuri aje mgawane mapato bila yeye kuweka uwekezaji wowote? Na tena awawekee masharti kibao?
Mengi ya haya yaliyoandikwa hapa ni siasa tupu! Bado meli nyingi zinazoleta mizigo ya Congo na Uganda na hata Zambia zinakimbilia Mombasa kwani Dar foleni ni kubwa mno. Akili ni kitu kizuri sana la sivyo ni kudanganywa kipumbavu.
hoja yako imejengwa na hofu na wasiwasi. makala yetu inahusu Changamoto za Bandari ya Dar zinazotokana na maendeleo na si vinginevyo. sisi kama Taifa lazima tukubali kuwa kila tunapopiga hatua katika ufanisi kwenye jambo fulani, na changamoto nazo hufuata. ndio msingi wa aliyeandaa makala hii kuwa watu wengi wamezoea kulalamika wakiona meli zimepaki zikisubiri kutia nanga DAR PORT sasa mwandishi anatuambia badala ya kulalamika basi tufurahieIwe swiss port , kadco, loliondo,tics/Hutchinson ya Singapore ya Tz na sasa dp weldi, kinachogomba ni Sisi wenyewe kupendekeza upigaji kabla ya kazi, na pili ni madhara yake .tatu gharama za kutoka hapo tulipokwama au kuweka nkataba ya chifu mangungo na mwisho ni hasara tunayokuwa tumepata na hao werevu wajinga wachache waluofikiria kwamba wamepata kumbe wamepatikana kuwaachia wajinga fulani hiyo mali walioipata kwa njia za mkato Kwa watu ambao hawawezi kuziendeleza hivyo mwisho wa siku tunakuwa tumejiuza Sisi wenyewe Kwa wageni. Hivyo kujipa mzigo karne kutoka hapo.