fimbo ya mpera
Senior Member
- Oct 1, 2014
- 101
- 79
- Thread starter
- #21
Takrima sipokeiAisee! Mtoa Uzi kunywa Coca-Cola hapo kwa mangi nakuja kilipa
Takrima sipokeiAisee! Mtoa Uzi kunywa Coca-Cola hapo kwa mangi nakuja kilipa
Inahusiana pia na ufanisi au changamoto za bandari?Amejaza waislamu wenzake hapo hakuna la maana
Makala imeonyesha hatua zote ambazo Bandari inapitia. msongamano na wingi wa wateja ni vitu viwili tofauti..makala imesema kuna MSONGAMANO bandarini.
..maana yake upakuaji na upakiaji wa mizigo haufanyiki kwa wakati na kwa ufanisi.
..binafsi sijawahi kusikia MTEJA anayefurahia msongamano na ucheleweshaji wa huduma.
..Makala kama hizi haziko kwa maslahi ya bandari yetu, na si za kizalendo.
Inawezekana sana tu na inaendelea kufanywa na watanzania. wawekezaji wanaoimbwa wamekaribishwa katika GATI NNE tu au TANO kati ya GATI 12 tulizonazo pale DAR PORTBaada ya maboresho hayo yalio asisiwa na watanzania na kutekelezwa na watanzania , je kweli hatua inayo fuata haiwezi kufanywa na watanzania Hadi hizo kampuni zifanye hiyo kazi, au ndio kuwezeshana kununua nyumba dubai na masaki za matrillioni ya madafu
Amejaza watu ambao hawana uwezo kisa ni dini moja na wanatoka Zanzibarinahusiana pia na ufanisi au changamoto za bandari?
Tungepata uchambuzi kama huu wakati wa DP wala tusingehamaki aisee. mnajifichaga wakati wa songombingo kukipoa ndio mnajitokeza na data za hivi. Mungu anawaonaBANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio o pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
unaona sasa..kumbe kuna magati mengine hayajakodishwa?inawezekana sana tu na inaendelea kufanywa na watanzania. wawekezaji wanaoimbwa wamekaribishwa katika GATI NNE tu au TANO kati ya GATI 12 tulizonazo pale DAR PORT
Pole
Yes. yapo mengi tuunaona sasa..kumbe kuna magati mengine hayajakodishwa?
AhsantePole
......unaona sasa..kumbe kuna magati mengine hayajakodishwa?
Makala imeonyesha hatua zote ambazo Bandari inapitia. msongamano na wingi wa wateja ni vitu viwili tofauti
Theoretically uko sawa, lakini bado kuna uzembe kwenye upakuaji meli. Meli kwa Dar es Salaam inachukua hadi siku 16 kupakuliwa wakati Mombasa ni siku 2. Wakenya wanatucheka sana. Tena wanadai kuna Watanzania wameamua kupitisha mizigo yao Mombasa.BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Hakika ndugu mtoa uzi umeandika vizuri sana na hizi zote ni juhud za Rais Samia na zinapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania japo wapo wale wazee wa kupinga kila kitu wakija humu na kuona mazuri ya bandari yetu watasema unalipwa kusemea mema na mafaniko ya bandarin yetu ya DARBANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
hapo mtoa uzi kazungumzia wakati wa sasa na ule uliopita na kulinganisha mazuri na mabovu yote lakini kaona kwa sasa utendaji wetu wa bandari ni wa kuungwa mkono na kupongezwa kwa juhud hizi zinazoendelea kuoneshwa..makala uliyoileta inajenga picha kwamba MSONGAMANO ktk bandari yetu ni jambo la kujivunia, na huduma nzuri kwa WATEJA.
Sidhani kama ni uzembe ni swala dogo sana na jepesi kuhusu namba. kama magati yapo 12 na meli zilizotia nanga ni 30 automatically meli 16 plus zitakuwa zinasubiri wenzake washushe...a simple logic ni kama shuleni tu tunavyopeanaga zamu wengine wanaingia asubuhi wengine mchana. kwenye Bandari tufurahie hatua ya kwanza soo limefunguka vyema. sasa hatua ya pili tuone maboresho zaidi na zaidi yakitokea ikiwemo kuongeza magati nakadharikaTheoretically uko sawa, lakini bado kuna uzembe kwenye upakuaji meli. Meli kwa Dar es Salaam inachukua hadi siku 16 kupakuliwa wakati Mombasa ni siku 2. Wakenya wanatucheka sana. Tena wanadai kuna Watanzania wameamua kupitisha mizigo yao Mombasa.
Bandari yetu ya Dar es salaam iko karibu na Congo, Zambia, Malawi, Burundi, Rwanda na Uganda kuliko Bandari ya Mombasa. Bandari hii inazidiwa na Mombasa mara 2 kiufanisi Kama Serikali ingefanya kazi vizuri Bandari hii inaweza kuchangia Trilion 6- 8 kwa mwaka
Kinacho kosekana ni nia madhubuti ya kuwekeza katika vitendea kazi ili huo utanisi au upakuaji wa mizigo uwe wa haraka, na usafirishaji wa kutumia treni.Theoretically uko sawa, lakini bado kuna uzembe kwenye upakuaji meli. Meli kwa Dar es Salaam inachukua hadi siku 16 kupakuliwa wakati Mombasa ni siku 2. Wakenya wanatucheka sana. Tena wanadai kuna Watanzania wameamua kupitisha mizigo yao Mombasa.
Bandari yetu ya Dar es salaam iko karibu na Congo, Zambia, Malawi, Burundi, Rwanda na Uganda kuliko Bandari ya Mombasa. Bandari hii inazidiwa na Mombasa mara 2 kiufanisi Kama Serikali ingefanya kazi vizuri Bandari hii inaweza kuchangia Trilion 6- 8 kwa mwaka
Msongamano unaoingiza pesa ni mzuri kuliko unavyoweza kufikiri..makala uliyoileta inajenga picha kwamba MSONGAMANO ktk bandari yetu ni jambo la kujivunia, na huduma nzuri kwa WATEJA.
Na hizo ndio fursa ambazo watanzania na wasio watanzania tunapaswa kuzichungulia kwa haraka.Kinacho kosekana ni nia madhubuti ya kuwekeza katika vitendea kazi ili huo utanisi au upakuaji wa mizigo uwe wa haraka, na usafirishaji wa kutumia treni.
hapo mtoa uzi kazungumzia wakati wa sasa na ule uliopita na kulinganisha mazuri na mabovu yote lakini kaona kwa sasa utendaji wetu wa bandari ni wa kuungwa mkono na kupongezwa kwa juhud hizi zinazoendelea kuoneshwa