Pia Sunshare nao wako juu bei zao na quality iko vizuri kama Alaf. Ila kwa kutambua hasa wanunua bati hawaangalii bati ukubwa na urefu. Wao upana uko chini kidogo ukilinganisha na Alaf . Halafu bei chini. Ukitafuta square metre unakuta Alaf bei zao ziko chini
Nenda Aghakan kama mfuko unaruhusu. Nilipata shida ya mtoto kama hiyo bahati nzuri alikuwa na miaka 1 na miezi 2.
Walikuta ni kilimi(sikumbuki kitaalamu) ila alikuwa anapata shida ya kupumua usku hasa akilala na homa za mara kwa mara. Walimfanyia operation ndogo akapona.
Tatizo ulikuwa ukimpa...
Kitu ambacho watu hawajui ni kwamba tumesahau katiba. Ambalo ndo lengu kuu la kumtia hatiani Mbowe. Siku wakiona inafaa watafuta kesi, tutashangilia kumbe lengo limekamilika
Huduma za mwanzoni kama approval ya kupokea hela,inspection certificate umepata?. Kama tayari waulize meli gani wanategemea kutumia. Hii itakupa mwanga zaidi na kukuondolea panick. Kwa kifupi taratibu ya makampuni yako sawa. Upande wa booking inategemea vessel availability mara nyingi ni wiki 2...
Ref ina anza na 99... jua ndo control #. Ukilipa kwa transaction ya simu kabla ya mwisho kubali itaonesha kama iko sawa. Ila hakikisha una hela inayolingana au kuzidi hiyo 55000 vinginevo itagoma
Kama ukikosa ALAF nenda Sunshare. Hutojutia. Hawa watu wanaagiza sheet kutoka China na South Africa wao ni kutengeneza profile tu. Fika kiwandani mtaani utaambiwa ni Alaf au Sunshare baada ya miaka 3 utaanza kulaumu kumbe ulipigwa kipindi unanunua
Madereva wasumbufu kwenye hesabu. Na wenyewe wanawapa day worker ajali za kila mara. Mda wote ni kuwasiliana nao utafkri na mimi nimekuwa dereva. Kazi zingine zinasimama. Imagine kwenye madereva 6 wa nne wasumbua. Siku yote inaharibika
Lisu nini kimempata? Alikuwa vizuri kwenye kutetea hoja. Kwa sasa anatumia makosa ya Mkuu kama Kinga kwa Wabunge wa Chadema. Ajipe mda kuna siku atakuwa sawa au kwa vile hashiriki kwenye vikao vya maamuzi inabidi tu atetee hata kama maamuzi hayako sawa. Wabunge jana tu watatu wamekiri wenyewe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.