Ww nan tuseme na ya kwako... Huna jpya kwahyo unafahamu mabaya tu.. Kwa hali hyo haumfahamu wananchi wanamjua hata kuliko ww kawaulize jimbon kwako..., halafu cyo wote wanajua lumumba mm mwananchi wa kawaida lakin nakuona umejitoa akili hutaki kusema mazur yake.. Fool
Mnamchafua ila atajisafisha siku moja tu... Rubbish mtatoa mapovu mpaka mwishiwe la kusema... He can be if he needs.. Siasa za chuki huwa zitaingiza nchi kweny migororo.. Many you are very short sighted.
Ww nan tuseme na ya kwako... Huna jpya kwahyo unafahamu mabaya tu.. Kwa hali hyo haumfahamu wananchi wanamjua hata kuliko ww kawaulize jimbon kwako..., halafu cyo wote wanajua lumumba mm mwananchi wa kawaida lakin nakuona umejitoa akili hutaki kusema mazur yake.. Fool
Gusa likulipukie... Utakapozungumzia madhara.. Hamtokuwa pamoja tena.? Six anamchafua sana jamaa. Ila ukwel wanaujua na e.l yuko sahihi na mzigo waliombebesha saiv wanasema wa kwake mwnyw lakin sivyo... Kumwita mkome na mkome kama ww maskin hata hela ya kubangaiza utailetea hii nchi ubunifu...
Post za kwamba umechaguliwa kwenda halmashauri ipi itakuwa 15 march.. Kuripoti itakuwa 30 march.. But wataajiriwa wengi ila priority itakuwa walimu wa science... Am sure but informal. Not consider
hatujaribu semen tutachagua na uhakikishe unalinda kura yako. ila ss wtz wengi n washamba na waoga na wenzen wanalijua hilo.. kuna sehem zngne e.g mwanza watu hawaogopi kulinda na kusimamia haki zao
Sita anafaa, pinda anafaa, lowasa anafaa ila [kutoka bara] samahan kauli naisema kwasababu ya ubaguzi wa kikanda halaf mnaeneza chuki zisizo na faida . .2015 ni mwaka mzur kwa tz tutaipata haki tunayoihitaji muda mrefu
Sita anafaa, pinda anafaa, lowasa anafaa ila [kutoka bara] samahan kauli naisema kwasababu ya ubaguzi wa kikanda halaf mnaeneza chuki zisizo na faida . .2015 ni mwaka mbaya kwa tz tutaipata haki tunayoihitaji muda mrefu
Kama ni ufisadi tutaona, au uwaziri kwamba hamna aliye wahi kua rais siyo sababu kwasababu wananchi wanamkubali ila chafua uwezavyo ... Tutasubiri way forwad. Kwanza membe hana wafuasi kabisa mpaka anategemea suport ya chama ila kazi unayo. Lowasa tunasubiri t shirt zako zile watu wajue kabisa...
Mm huwa najibu kwa maswali hivi mnapomkataa e.l mnamtaka nani.? Membe,sita, pinda au jibu kwa mnaofikiria hivo mnabugi.. You have eyes to see, ears to hear just wait and see achen kuruka ruka. E.l is next tz president
Mgogoro uko planed mnaendelea kuipa umaarufu... Halaf wacha tupasue jipu sie tunao ona mbali ni hiv chama hicho kinategemea mgawanyiko,ndan ya ccm wakat wa kikao cha cc. .. Bt saiv mnaipaza tu... Na ccm ni salama kwan saiv wamesoma upepo hamna mgawanyiko tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.