Mheshimiwa Rostam Aziz tunakuomba uiangalie kampuni yako ya New Habari,hali sio nzuri,hatulipwi mishahara yetu huu ni mwezi wa tatu hatujalipwa mishahara yetu na suala lingine ni pesa zetu za PPF hazipelekwi na zinakatwa kila mwisho wa mwezi,tunakuomba uweke mkono wako wa baraka katika hii...
Mazoea hujenga tabia,imekuwa kawaida kwa haya mashirika yetu leo nizungumzie haya ya NSSF na PPF,nianze kwa kuhoji kazi yao ni nini?,maana unakuta mfanyakazi unakatwa pesa zako kila mwisho wa mwezi ila hizo pesa hazipelekwi NSSF wala PPF na mmnakaa kimya,,,,NSSF na PPF kazi yenu ni nini??????
Kwa naiaba ya wafanyakazi wote wa New Habari,nataka nitoe ushauri wa bure kwa CEO wetu kujivua gamba haraka iwezekanavyo kama alivyofanya boss wake aka bwana wake RA,kampuni imekushinda,imeshajieleza,sio rahisi kufanya promotion ya aina yoyote katika kampuni na ikafanikiwa bila kujali hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.