Search results

  1. K

    Hii kero ya mafuta itaisha lini?

    imeshakuwa kero,kila sehemu unaenda unaambiwa hamna mafuta,,sehemu nyingine wanauza mwisho lita 5 tu,,hii kero mpaka lini,serikali mpo...?????
  2. K

    Wafanyakazi New Habari vp??

    kwani mmerogwa,,tuchukue hatua...!!
  3. K

    Rostam Aziz tusaidie New Habari hali sio nzuri

    Mheshimiwa Rostam Aziz tunakuomba uiangalie kampuni yako ya New Habari,hali sio nzuri,hatulipwi mishahara yetu huu ni mwezi wa tatu hatujalipwa mishahara yetu na suala lingine ni pesa zetu za PPF hazipelekwi na zinakatwa kila mwisho wa mwezi,tunakuomba uweke mkono wako wa baraka katika hii...
  4. K

    NSSF na PPF kazi yenu ni nini??

    Mazoea hujenga tabia,imekuwa kawaida kwa haya mashirika yetu leo nizungumzie haya ya NSSF na PPF,nianze kwa kuhoji kazi yao ni nini?,maana unakuta mfanyakazi unakatwa pesa zako kila mwisho wa mwezi ila hizo pesa hazipelekwi NSSF wala PPF na mmnakaa kimya,,,,NSSF na PPF kazi yenu ni nini??????
  5. K

    New Habari na kutowapa promotion wafanyakazi wao

    Kwa naiaba ya wafanyakazi wote wa New Habari,nataka nitoe ushauri wa bure kwa CEO wetu kujivua gamba haraka iwezekanavyo kama alivyofanya boss wake aka bwana wake RA,kampuni imekushinda,imeshajieleza,sio rahisi kufanya promotion ya aina yoyote katika kampuni na ikafanikiwa bila kujali hali...
Back
Top Bottom