Mazoea hujenga tabia,imekuwa kawaida kwa haya mashirika yetu leo nizungumzie haya ya NSSF na PPF,nianze kwa kuhoji kazi yao ni nini?,maana unakuta mfanyakazi unakatwa pesa zako kila mwisho wa mwezi ila hizo pesa hazipelekwi NSSF wala PPF na mmnakaa kimya,,,,NSSF na PPF kazi yenu ni nini??????