Naomba anayejua link au aliyenazo track hizi aweke hapa au anipm
*Tangazo-Mr Vs
*michano-Bandago ft mr vs
*boss-bwv
*haki-2proud ft Justine Kalikawe
*fani si utani-ras lion
*mzuri-maliki ft Q chief
please naomba msaada wenu wana Jf
Jana nimesikia track ya mchizi Chindo unayoelezea story za mwana wa ndichi ila nimejaribu kuitafuta lkn mwisho wa siku dolo.Plz mwenye nayo ani Pm au aweke link niiendee kwa ju.Amani
Hayo yalikuwa maelezo ya afisa elimu mmoja aliyekuja ofisni kwetu akimwelezea mwalimu aliyekuwa kaja ofisi kwetu kufatilia masuala ya mshahara wake kisha alipomwona afisa yule akaanza kumwomba mgao wa waalim pindi watakapolipot.Jamaa aligoma akdadai kidogo watakaofikiliwa ni wa sayansi ila nao...
Japo mwaka ndo uko mwanzo ila hii ngoma wana wamefanya kweli,kiasi fulani nauona mziki wetu ukielekea kule nako kufikiria siku zote, sio Nigeria sijui Afrika magharibi ninini huko.
Ila wakongwe ni wakongwe tu.
Mwanangu ana mwaka 1 na miezi 9 sasa lakina bado anatambaa tu na kusimamia vitu pasipo kutembea.wenzake walozaliwa pamoja hata nyuma yake sasa wanatembea lkn ye bado.Tatizo nini jamani mwenye kujua anisaidie jamani
Sometime kuuliza ni kutaka kujua zaidi,,mi jamani sijui tofauti kati ya C band na KU band kama vipi naomba mnijuze na pia endapo nitatumia Lnb za KU band kipi nitapata chanel zipi na C band kadhalika.
PEACE.
Hakika kwe ngoma ya Kalla Pina alomshirikisha Dimpoz mchizi kalegea sana.Zile mishe zake za kukaza ka pindi ile hakuna,dizaini kama vile alikuwa anabana pua ili asifichwe na Dimpo.
Kweli nimeamini Hiphop ya ukweli iko Amerika Bongo njaa tu.ila naamini yeye hafurahii kufanya kazi ka ile ila njaa
Nimefatilia kwa mwaka huu ujanja wa hawa jamaa ni kule kwao wanapokutana na wajingawajinga lkn wakidondoka mji wa watu wanakatwa minyororo yote.Si Costa wala nani wote kimya.Chunguza utanambia
Nimekuwa nikisikia hapa JF kuna team mbalimbali lakini makocha wa team hizo siwajui.Utasikia eti #Team Bazazi,Team wakaangasumu,Team wemasepetu,Team Diamond
Hivi hizi team makocha wao ni akina nani,wanatumia viwanja gani hushiriki ligi gani?
ONE LOVE IN JAH PEACE ALL RASTAFARIE
Nimefuatilia sana mashabiki wa Arsenal nikagundua kuwa ni watu wakulalamika sana tena wakimsonga Wenger. Mfano mwaka jana walilalamika pale mwanzo wa ligi kisha wakatulia mpaka baada ya sikukuu za Xmass na mwakampya wakaanza tena.
Jamani nyie wafatiliaji wa masuala ya soka hebu nijuzeni sababu...
Peace and Love all rastafrie,
jamani kwa mwenye utaalamu wa suala hili anisaidie.Hivi kwanini mtu ukivuta bangi bila kuichanganya na sigara huwa unasikia kama mishipa ya kichwa inauma lakini ukiichanganya haiumizi.Kuna tatizo gani katika dry na sio mixer.
ONE LOVE IN PEACE OF JAH!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.