CHAHALI USIPOTOSHE, DKT. KIPILIMBA HAJAWAHI KUWA CHAGUO LA MEMBE KWA JPM
Nimesoma tweet ya aliyekuwa Ofisa wa TISS kuhusu anazoita njama za kumhujumu JPM zinazoratibiwa na Membe kwa ushirikiano mkubwa kutoka kwa DGIS Dkt. Kipilimba.
Chahali anatupasha habari kwamba ni Membe aliyempeleka Dkt...
Kamishna wa kodi za ndani wa TRA,Ndg.Elijah Mwandumbya aamua kupigania maslahi ya wasanii wa taifa kwa ujumla kwa kuzuia ulanguzi wa kazi za wasanii unaopelekea serikali kupoteza mapato kwa maslahi ya maendeleo ya taifa.
Fungua link:
SERIKALI IMULIKENI TDL NA TBL.WASAMBAZAJI WAZAWA WANAONEWA SANA.
Tumekuwa tukishuhudia namna serikali yetu pendwa ya awamu ya tano chini ya Rais wetu mpendwa Dk.John Pombe Magufuli inavyojitahidi kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara wazawa ila juhudi zake zinakwamishwa na wawekezaji...
Mama Margaret Sitta, Mimi na familia yangu napenda kuungana na mamilioni ya Watanzania kutoa salamu za pole kwa msiba Mkubwa uliolikumba Taifa. Wote tutamkumbuka Marehemu Mzee Sitta kwa Moyo wake wa kuchapa kazi kwa kasi na viwango Serikalini na Bungeni. Atakumbukwa kwa Uongozi uliotukuka...
Maelezo ya Maalim Seif ni selected statement, not the whole. Kundi la "Front liners" lilikuwa na yeye Maalim Seif, Hamad Rashid Mohamed, Khatib Hassan, Ali Haji Pandu, Khamis Mloo, Jumanne Duni, na Sudi Yusuf Mgeni. Aulizwe Hamad Rashid Mohamed atawapa ukweli! Na ukweli ni huu; Mzee Jumbe...
To me Zitto atabaki kuwa mmoja wa nguzo imara za upinzani na ukuaji demokrasia nchini.Pamoja na mapungufu aliyonayo ila bado ni mmoja wa wanasiasa bora kuwahi kutokea Tanzania.Ndiye aliyefungua milango kwa vijana kufanya siasa.Zipo motions kubwa bungeni alizisimamia na kuleta tija kwa...
Siku zote Makonda ameeleza kwenye vituo vya Redio na TV kuwa yeye ni mtoto wa masikini na hata wazazi wake ni masikini ila hakukubali umasikini huo ufifishe ndoto yake na ndiyo maana anafanya kazi kwa bidii na kujituma huku akiwapigania wanyonge na masikini.
Katika muda mfupi wa utumishi wake...
MATAPELI WATUMIKA KUMCHAFUA RC MAKONDA.
Kumekuwa na screenshot inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii yenye picha na ujumbe unaoonesha kuwa RC Paul Makonda amefungua "Financial Institution" inayotoa mikopo kwa wananchi wa mkoa wa Dar es salaam.
Tunapenda kutoa angalizo kwa wananchi wote kutoka...
Mhe Zitto Kabwe Hongera kwa kuwaonyesha Watanzania tofauti kati ya ACT Wazalendo na UKAWA kuanzia tarehe 5/11/15 siku ambayo mgombea Urais wa ACT alikwenda Diamond Jubilee Hall na kuonyesha ukomavu na uzalendo tofauti na UKAWA na jana wewe mwenyewe ulipoamua kubaki ndani ya Bunge kuungana na...
Gentamycine hauko sawa kifikra.Mh.Membe anashiriki kikamilifu kwenye hizi kampeni.Ila kaa ukijua kuwa pia majukumu ya uwaziri yanambana ila pia pamoja na kuwa alimuuguza kaka yake ambaye leo hii katutoka pia anamuuguza mwanaye wa mwisho na mdogo wake wa mwisho.Huu wakati anahitaji faraja yetu na...
Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa na mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi anayemaliza muda wake Mh.Bernard Kamillius Membe amefiwa na kaka yake kipenzi ndugu Simon Kamillius Membe kilichotokea leo asubuhi nchini India.
Msiba upo mkoani Lindi kijijini Rondo kilichopo jimbo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.