Search results

  1. S

    Chahali usipotoshe, Dkt. Kipilimba hajawahi kuwa chaguo la Membe kwa Magufuli

    CHAHALI USIPOTOSHE, DKT. KIPILIMBA HAJAWAHI KUWA CHAGUO LA MEMBE KWA JPM Nimesoma tweet ya aliyekuwa Ofisa wa TISS kuhusu anazoita njama za kumhujumu JPM zinazoratibiwa na Membe kwa ushirikiano mkubwa kutoka kwa DGIS Dkt. Kipilimba. Chahali anatupasha habari kwamba ni Membe aliyempeleka Dkt...
  2. S

    TRA yadhamiria kuzuia piracy kazi za wasanii kwa kukamata Cds feki.

    Kamishna wa kodi za ndani wa TRA,Ndg.Elijah Mwandumbya aamua kupigania maslahi ya wasanii wa taifa kwa ujumla kwa kuzuia ulanguzi wa kazi za wasanii unaopelekea serikali kupoteza mapato kwa maslahi ya maendeleo ya taifa. Fungua link:
  3. S

    Bernard Membe: Polepole apelekwe shule kuijua vyema itikadi ya CCM. Ni ajabu Kamati Kuu kukaa bila Katibu Mkuu

    Ninazidi kuamini maneno ya mhenga mmoja mtoto wa Mzee Anthony Ntachile kuwa Intelligence is an art of interpretation.
  4. S

    Serikali imulikeni TDL na TBL, wasambazaji wazawa wanaonewa sana

    SERIKALI IMULIKENI TDL NA TBL.WASAMBAZAJI WAZAWA WANAONEWA SANA. Tumekuwa tukishuhudia namna serikali yetu pendwa ya awamu ya tano chini ya Rais wetu mpendwa Dk.John Pombe Magufuli inavyojitahidi kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara wazawa ila juhudi zake zinakwamishwa na wawekezaji...
  5. S

    My little story with Makonda about leadership, kwa faida ya wasiokujua

    Rc Paul Christian Makonda ni kiongozi mzuri.Tupunguze majungu!
  6. S

    Membe atuma salamu za rambirambi kwa familia ya Samweli John Sitta.

    Mama Margaret Sitta, Mimi na familia yangu napenda kuungana na mamilioni ya Watanzania kutoa salamu za pole kwa msiba Mkubwa uliolikumba Taifa. Wote tutamkumbuka Marehemu Mzee Sitta kwa Moyo wake wa kuchapa kazi kwa kasi na viwango Serikalini na Bungeni. Atakumbukwa kwa Uongozi uliotukuka...
  7. S

    Ni kama asemavyo KITILA MKUMBO, tufanye vita na ulaghai wa kisiasa.

    Chadema wanaamini kuwa kwenye siasa hakuna urafiki au adui wa kudumu..
  8. S

    Maalim Seif ajibu tuhuma za kumsaliti Abdu Jumbe

    Maelezo ya Maalim Seif ni selected statement, not the whole. Kundi la "Front liners" lilikuwa na yeye Maalim Seif, Hamad Rashid Mohamed, Khatib Hassan, Ali Haji Pandu, Khamis Mloo, Jumanne Duni, na Sudi Yusuf Mgeni. Aulizwe Hamad Rashid Mohamed atawapa ukweli! Na ukweli ni huu; Mzee Jumbe...
  9. S

    Zitto utapotea, achana na Rais Magufuli!!

    To me Zitto atabaki kuwa mmoja wa nguzo imara za upinzani na ukuaji demokrasia nchini.Pamoja na mapungufu aliyonayo ila bado ni mmoja wa wanasiasa bora kuwahi kutokea Tanzania.Ndiye aliyefungua milango kwa vijana kufanya siasa.Zipo motions kubwa bungeni alizisimamia na kuleta tija kwa...
  10. S

    Hivi ni Vyuo vinavyoharibu Elimu ya Vyuo vikuu vya Tanzania

    Tuliosoma Tumaini tunajua ukweli uliopo.Hakuna uhaba wa walimu.
  11. S

    RC Makonda hakukata tamaa kwenye safari yake ya mafanikio

    Siku zote Makonda ameeleza kwenye vituo vya Redio na TV kuwa yeye ni mtoto wa masikini na hata wazazi wake ni masikini ila hakukubali umasikini huo ufifishe ndoto yake na ndiyo maana anafanya kazi kwa bidii na kujituma huku akiwapigania wanyonge na masikini. Katika muda mfupi wa utumishi wake...
  12. S

    Matapeli watumia jina la RC Makonda kutapeli

    MATAPELI WATUMIKA KUMCHAFUA RC MAKONDA. Kumekuwa na screenshot inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii yenye picha na ujumbe unaoonesha kuwa RC Paul Makonda amefungua "Financial Institution" inayotoa mikopo kwa wananchi wa mkoa wa Dar es salaam. Tunapenda kutoa angalizo kwa wananchi wote kutoka...
  13. S

    Zitto mbabe wa Bungeni, hakususia hotuba ya Rais

    Mhe Zitto Kabwe Hongera kwa kuwaonyesha Watanzania tofauti kati ya ACT Wazalendo na UKAWA kuanzia tarehe 5/11/15 siku ambayo mgombea Urais wa ACT alikwenda Diamond Jubilee Hall na kuonyesha ukomavu na uzalendo tofauti na UKAWA na jana wewe mwenyewe ulipoamua kubaki ndani ya Bunge kuungana na...
  14. S

    Sokoine was not a hero, Salim was...

    Both Sokoine and Dk.Salim are nationalists.
  15. S

    TANZIA: Waziri Membe amefiwa na kaka yake mkubwa

    Gentamycine hauko sawa kifikra.Mh.Membe anashiriki kikamilifu kwenye hizi kampeni.Ila kaa ukijua kuwa pia majukumu ya uwaziri yanambana ila pia pamoja na kuwa alimuuguza kaka yake ambaye leo hii katutoka pia anamuuguza mwanaye wa mwisho na mdogo wake wa mwisho.Huu wakati anahitaji faraja yetu na...
  16. S

    TANZIA: Waziri Membe amefiwa na kaka yake mkubwa

    Mfamaji ukuwe....uache ujinga!Sio siasa hii ni suala la msiba.
  17. S

    TANZIA: Waziri Membe amefiwa na kaka yake mkubwa

    Waziri wa mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa na mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi anayemaliza muda wake Mh.Bernard Kamillius Membe amefiwa na kaka yake kipenzi ndugu Simon Kamillius Membe kilichotokea leo asubuhi nchini India. Msiba upo mkoani Lindi kijijini Rondo kilichopo jimbo la...
Back
Top Bottom