Sauti ya Rondo
Senior Member
- Aug 1, 2009
- 127
- 226
- Thread starter
- #21
Gentamycine hauko sawa kifikra.Mh.Membe anashiriki kikamilifu kwenye hizi kampeni.Ila kaa ukijua kuwa pia majukumu ya uwaziri yanambana ila pia pamoja na kuwa alimuuguza kaka yake ambaye leo hii katutoka pia anamuuguza mwanaye wa mwisho na mdogo wake wa mwisho.Huu wakati anahitaji faraja yetu na sio malalamiko yasiyo na mashiko.