Mwanamke mmoja aliyekua akiishi vijijini alitongozwa na wanaume wawili Wamakonde katika siku moja basi kwa maksudi aliwapa miadi katika pori saa za usiku . na wote aliwapa miadi pahala palepale. Huyu mwanamke alifika pale pahala saa moja kabla ya wakati na akapanda juu ya mti na kujificha...
One man was driving his car some where on the village , on the way he saw a girl
crying , he stopped and ask the girl why she was crying , the girl reply that she is sick.
The man took her to the nearest Hospital , straight she was sent to the doctor, after one hour the doctor came out and say...
Wahindi walikua wakimtania Mhindi singa singa wakasema kua Masinga singa wote hua wendawazimu
ifikapo saa 6 kamili za Mchanana wakasisitiza kua hii sio utani bali ni kweli. singa singa mmoja akahamaki sana. ela siku iliyofuata akaenda kwa yule aliyesema hivyo kiasi saa 5 na dakika 50 ili...
Soma hichi kisa cha mhindi singa singa.
siku moja mhindi singa singa alipanda treni kuenda mikoani , kwakua alikua na pesa na safari ilikua ndefu basi ilibidi akate tiketi ya daraja la kwanza. hivyo alipata chumba na ndani kiko choo na wasafishaji huwa wanakuja kusafisha kila baada ya muda. Huyu...
Just for quick introduction hii Hospitali ilijengwa kwa msaada kutoka
China, na madakitari wake pia kutoka China. Sasa miungoni mwa madakitari
alikuako mmaja kwa jina akiitwa Ha-Ni-Sii na mwengine anaitwa Basham.
Ok , siku moja alifika mwana dada mmoja kutibiwa , alikua anaumwa na tumbo.
Huyu...
Kule kisiwani pemba mchezo wa n'gombe ni maarufu sana na kuna n'gombe wengi wakali
na wachezaji stadi.
any how kulikua na n'gombe mmoja mkali kupita wote kwa umaarufu anaitwa KIPOLE.
Sasa stori ni kua mtu mmoja wa makamo alikua akilima kwenye kajishamba kake na
ikafika wakati wa kusali ...
Siku moja mtu mmoja jijini Dar aliendesha baiskeli usiku bila ya kua na taa, kwa bahati alikutana na askari mgambo na akamsimamisha kwakua hakua na taa. sasa maongezi yao yalikua kama ifuatavyo :
Mgambo : Jee mzee wapi Taa.
kijana aliepanda baiskeli nae akajibu : Ndio napitaa. na akaendelea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.