Search results

  1. nash2010

    Tunapata laana wenyewe, kwanini tule rambirambi? Kagera, Arusha. Huko mbele nani atawaini achangie?

    kuna chombo chahabari kinapenda kuratibu misiba/majanga, yakitokea tu wana wahi #60,400,000-matumizi-mengineyo Kanumba, Mangwair, Arusha etc, ukizoea kula nyama ya mtu huachi.
  2. nash2010

    Swali: Yuko wapi Juma Duni Haji?(Ban Duni)

    Anakula urojo pemba
  3. nash2010

    Wahanga wa vyeti fake ni wakati wa kutuliza akili sana na kushikamana kwa Pamoja wana familia wote

    wakati wa richmond kampuni ilikuwa feki lakini ililipwa kutokana umeme uliozalishwa licha ya kampuni kuwa feki, hawa wenye vyeti feki hawana budi kuondoka, ila ni muhimu wakalipwa stahili zao.
  4. nash2010

    Orodha ya Watumishi wenye vyeti vya Kughushi...

    double standards, kitu kibaya sana.
  5. nash2010

    Je Kuna kitu Magufuli anakifahamu na sisi hatukifhamu

    Yanayo endelea yana staajabisha, lakini labda kuna kitu MTUKUFU Raisi anakifahamu na sisi wengine hatukifamu. Pia kama hali iko hivyo taarifa hizo zinaweza kuwa nyeti na hazi paswi kuwekwa hadharani. Kama hali iko hivyo, hatuna namna bali kumuelewa MTUKUFU Rais. Viva Tanzania Viva Sirikali...
  6. nash2010

    Ridhiwani: Tumeishi na RC Makonda vizuri ila kutajwa kwenye madawa, kama familia tunamwachia Mungu

    Kwa hali ilivyo, Makonda anatekeleza maagizo. Kwa nia njema au mbaya Mungu ndio anajua. Ila yote yana mwisho.
  7. nash2010

    Majambazi 6 wauawa na polisi Dar

    Kwa hiyo hawa wali uwawa wakifanya ''udaku''
  8. nash2010

    Waziri Nape, wachukulie hatua Gazeti la Mwananchi kwa kuihujumu CCM

    Kwanini sasa tusifanye juhudi kuhakikisha vinafanya kazi. CCM na mwenyekiti wake hawawezi kupendwa na kila mtu kama tuna lifahamu hilo kwa nini tusi kazane kufanya yetu na kuwa acha wenye fikra tofauti na zetu wafanye 'yao'
  9. nash2010

    Waziri Nape, wachukulie hatua Gazeti la Mwananchi kwa kuihujumu CCM

    Kwanini wana ccm tusikazanie ujenzi wa viwanda na kuacha kutafuta kupendwa na kusifiwa na kila mtu
  10. nash2010

    Junk food cravings are triggered by the mere thought of being low class

    Nanren junk food is all about lack of nutrients not calorie content
  11. nash2010

    Rais Magufuli apiga simu tena Clouds 360, awapongeza kwa kazi nzuri

    wazungu wanasema "join forces with the king and you will eat all day" tafsiri kwa hisani ya google "unganisha nguvu na mfalme ili ule siku nzima"
  12. nash2010

    Tetemeko la Ardhi Kagera: Serikali imeonesha udhaifu mkubwa sana

    kila mtu na kipa umbele chake, kwa mfano kipaumble changu kina weza kuwa kununua na ndege na kushughulikia ndoto za watu, hiyo haiwa zuii wana kagera kufarijiana au kujenga nyumba zao, ukizingatia tetemeko halikuletwa na serikali. tumuogope Mungu.
  13. nash2010

    Junk food cravings are triggered by the mere thought of being low class

    food that has low nutritional value 1. We get nutrients through eating/drinking not by activities we do there after. 2. Junk food contains a lot of calories mainly from fat and/or sugar and that's exactly what your body needs to carry a 150kg bag 3. Your body needs more than just calories...
  14. nash2010

    Junk food cravings are triggered by the mere thought of being low class

    It’s well established that people with low economic status are the hardest hit by the current obesity pandemic, as well as related health problems such as diabetes. Poor healthcare, stress, unhealthy lifestyles, and a cornucopia of cheap junk food are all thought to play a role. But a new study...
  15. nash2010

    Polisi yatoa tamko juu ya miili saba ya Ruvu na kupotea kwa Ben Saanane

    Ben saanane alitaka aonyeshwe alipo mkuu wa majeshi
  16. nash2010

    787 Dreamliner to become part of Air Tanzania fleet

    Boeing and the United Republic of Tanzania have confirmed an order for one 787-8 Dreamliner, valued at $224.6 million at list prices. The aircraft will be operated by Air Tanzania, the flag carrier of Tanzania. Air Tanzania said, "The 787 Dreamliner will be the flagship aircraft as we renew and...
  17. nash2010

    Why you will marry the wrong person

    IT’S one of the things we are most afraid might happen to us. We go to great lengths to avoid it. And yet we do it all the same: We marry the wrong person. Partly, it’s because we have a bewildering array of problems that emerge when we try to get close to others. We seem normal only to those...
  18. nash2010

    Unskilled and Unaware of It

    People tend to hold overly favorable views of their abilities in many social and intellectual domains. This overestimation occurs, in part, because people who are unskilled in these domains suffer a dual burden: Not only do these people reach erroneous conclusions and make unfortunate choices...
Back
Top Bottom