Umemsikia kwa macho yako!!!!!!!Kapiga nimemsikia kwa macho yangu
Mbona aliyepita alikuwa akiimbiwa Happy Birthday? Mialiko ya Leader's Club! Malaria ikakemewa. Dah!hana kazi ya kufanya kazi kupiga simu kwa wapiga dill then amasema tuchape kazi,si asome vitabu
tutasema mengi lakini hakuna ubishi clouds ni wabunifu sana ukilinganisha na tv nyingine sijui wanawapata wapi hawa watangazaji mahiri ambapo tv nyingine haziwapatihuyu jamaa huwa hana kazi.
swissme
Macho yako yana masikio semegi?Kapiga nimemsikia kwa macho yangu
Kwakwel katika hili,TBC lazma wajipange upya maana rais inaonekana anaiman na TV ya mtu binafsi kuliko TV ya taifa.Kama Mimi ningelikua Lioba ningejiuzulu,maana haya ni matusi ya reja reja
Macho yako yanasikia? usitutishe asubuhi subuhi hii.Kapiga nimemsikia kwa macho yangu
Baada ya hapo alipiga na TBC
Macho yako yanasikia? usitutishe asubuhi subuhi hii.