nash2010
JF-Expert Member
- Jun 18, 2010
- 624
- 215
Yanayo endelea yana staajabisha, lakini labda kuna kitu MTUKUFU Raisi anakifahamu na sisi wengine hatukifamu.
Pia kama hali iko hivyo taarifa hizo zinaweza kuwa nyeti na hazi paswi kuwekwa hadharani.
Kama hali iko hivyo, hatuna namna bali kumuelewa MTUKUFU Rais.
Viva Tanzania
Viva Sirikali ya vi-wonder
Pia kama hali iko hivyo taarifa hizo zinaweza kuwa nyeti na hazi paswi kuwekwa hadharani.
Kama hali iko hivyo, hatuna namna bali kumuelewa MTUKUFU Rais.
Viva Tanzania
Viva Sirikali ya vi-wonder