Habari, mwenye kujua kampuni kongwe inayohusika na usafirishaji mizigo kutoka Uk ilionunuliwa kupitia ebay au amazon ama duka lolote, nitashukuru kwa msaada
Habari, nipo dar na nilikua nahitaji huduma ya internet , kwenye internet cafe ila iwe na speed nzuri na mazingira yawe mazuri.. 20mbps to 100mbps.
Asante
Mambo vipi wakuu, nahitaji kujua kitu.
Ivi ile offer ulikua ukinunua kisimbuzi kipya unapewa mwezi mzima bure amna ama?,
Nauliza ivyo maana nimenunua kipya leo kuwasha naona free local chanel
Cha antena 99k
Habari za saizi,
Naitaji kujua Oneplus 7t pro 5g Mclaren edition inasapoti mitandao ya bongo?
Nimeuliza hili swali baada ya kuchukua simu unlocked from USA ilikua Tmobile .
Msaada
Habari za muda huu,
Nauliza kama inawezekana kutrack simu iliyoibiwa kwa kutumia Serial Number pekee maana simu ni network lock, iphone 11
Kibaya zaidi ilikua haina icloud ndani, nauliza kwa anaejua kama inawezekana labda kama akikonect tu wifi nimuone alipo
Kampuni ya infinix wamemtumia Concept phone 2021 unbox therapy na kuizungumzia pia kushangazwa kwa kujaa chaji kutoka 0 hadi 100 ndani ya dakika 10 tu.
With iOS 15, your iPhone is still traceable through the Find My network even when the device is powered off. It seems that with iOS 15, the phone is not really fully ‘powered off’, it stays in a low-power state and acts like an AirTag, allowing any nearby iOS device to pick up the Bluetooth...
Habari za Musa huu wadau,
Niliweka password Kwa harddrive yangu sasa nashangaa password zinakataa laptop ni Dell latitude naomba msaada kuelekezwa jinsi ya kuiformart au kuibypass maana hata ukipiga Window ukifika maala ya kuchagua disk ipo empty.
Habari zenu, naomba kujua kama kuna mtu aliefanikiwa kujiunga na Amazon Mechanical Turk, na je alijiungaje na mrejesho upoje wa malipo? Kama hujui Mturk ni online working platform.
Laptop ipo kwenye hali nzuri ina 320gb hdd 3gb ram kioo 15.6 inchi
Proc. 2.3ghz
DVD RW
Charge 1hr ipo na adapter yake og
BEI 200000 Mwisho kabisa 170000.
0657427793 Serious Buyers Only
Laptop ipo kwenye hali nzuri ina 320gb hdd 3gb ram kioo 15.6 inchi
Proc. 2.3ghz
DVD RW
Charge 1hr
BEI 200000 Mwisho kabisa 170000.
0657427793 Serious Buyers Only
Samsung Galaxy tab A 8.0 model Sm-t355 4g+Wi-Fi 16gb ina Android 7.1 Nougat bei 330000 inapungua kidogo. Tablet bado ipo fresh. Tablet ipo Moshi,KILIMANJARO.
Zte Maven 2z831 ina kioo kikubwa inchi 5" na ina internet ya kasi ya 4g na ina ram 1gb na 8gb rom inaingiza sd card bei 120000 na inapungua.. Simu bado mpyaaaa nicheki 0757227796. Ipo KILIMANJARO
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.