Nijuzeni jamani, hii style ya kuachia nywele za kwapa ni fashion au uchafu?kama ndio fashion imeingia niambieni ili na mimi nianze kufuga zangu,maana kama mnavyojua tunaiga maselebu
wenye hela na wenye kutimiza mahitaji yote ya mwanamke ndio wachache, lakini hohe hae wamejaa kibao, ndio maana wanawake wengi wanagombea padeshee hawagombei shamba boy, sasa piga hesabu hapa mjini mapedeshee ni wangapi?
kuhusu kuwa na hamu sijalifanyia sana utafiti,ila ninachojua siku ambayo yai ndio limepevuka linasubiria mbegu,acha bwana,usipoangalia unabaka,wadudu wadogowadogo wanatekenya mpaka basi,especial ukiwa mwanafunzi hauhitaji mtoto,nafikiri hamu inazidi mara mia
haya ni kwa upabde wangu,labda tupo...
umenikumbusha mbali sanaaaaaaa, nagombana na jamaa yangu kila ikifika hichi kipindi,hata kama hamna ugomvi utatafuta kisa cha nyuma,miaka ileee iliyopita, baada ya kugundua huu mchezo mchafu,nimejitahidi sana ku control lakini wapi,ni ngumu sana,naweza nikapitisha hizo siku nne bila hata ya...
I was doing the same,especial kwa wale wanaume ving'ang'anizi, anakusumbua mpaka unakarahika,anakuja na mbwembwe za kwamba yeye ni mtoto wa rostam aziz,sasa unafikiri matokeo yake ni nini? lazima uchunwe mpaka utie akili,mpaka ukija amka kutoka usingizini na kujua hapa sitakiwi nakuwa nimemaliza...
lets be serious guys, we can do something kama tukiwa wamoja, sio lazima tushinde, hata wakishinda poa lakini itakuwa mfano kwa wengine wanaojiandaa kuja,maana ninavyojua toka aanze kupigiwa kelele kuhusu uraia na ufisadi atakuwa amejipanga sana.
bora hela ziliwe na hawa watanzania wenzetu...
No one Cares Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri,
No one cares because they sure we cant touch them,
No one cares because they think of short term impact of their political career ,
No one cares because mioyo yao inawasuta kwa pesa walizoshirikiana kuiba na RA,
No one Cares because...
im a father's daughter,kuna siku naikumbuka enzi zile baba alinichukua kwenda kuninunulia zile chupi za mtumba pale kariakoo mtaa wa kongo,im in love with him japokuwa hajaweza kunipa chochote, kila nikifikiria kwamba kunasiku sitakuwa nae hapa duniani najikuta nalia utadhani ndio ameshaondoka
ile barabara ni kiboko,first time naelekea kule nililia mpaka tunafika lushoto mjini, ilibaki kidogo nisirudi kwa ajili ya ile barabara, ningekuwa mwanakijiji na mzoefu ningetembea kwa miguu mpaka mombo kama wenyeji wanavyofanya,but i fall in love na ile place kwa kweli
nipo nje, kuna kitu nilikuwa nataka kutoka tanzania,nikamwambia ndugu yangu naomba niulizie bei, nilishangaa nilipotajiwa bei ya dola baada ya shilingi,hatuna utamaduni wowote na bado watu wachache wenye nguvu wanaacha shiingi pia ipotee, na ule mlima wakenya wameshauchukua,sasa ukitaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.