......Watu mna macho kama darubini khaaaaaa!! Hivyo kuna nywele hapo au ni kwapa tu jeusi?Mie nadhani inabidi ashughulikie kulisafisha kwapa ili liwe safi kama alivyo usoni.
hahahaaaaa wivu mbaya jamani panda juu ukazibe,ili iweje sasa!!!View attachment 15362
Nijuzeni jamani, hii style ya kuachia nywele za kwapa ni fashion au uchafu?kama ndio fashion imeingia niambieni ili na mimi nianze kufuga zangu,maana kama mnavyojua tunaiga maselebu
......Watu mna macho kama darubini khaaaaaa!! Hivyo kuna nywele hapo au ni kwapa tu jeusi?Mie nadhani inabidi ashughulikie kulisafisha kwapa ili liwe safi kama alivyo usoni.