Rostam Aziz & Yusuph Manji

kiuno

Member
Jun 6, 2010
49
2
No one Cares Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri,
No one cares because they sure we cant touch them,
No one cares because they think of short term impact of their political career ,
No one cares because mioyo yao inawasuta kwa pesa walizoshirikiana kuiba na RA,
No one Cares because they are shareholders in most of RA companies,
No one cares!

But there is blood of Inocent which care and that are Tanzanian wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali kwa kukosa matibabu kutokana na ukosefu wa vifaa vya kisasa vya afya, Damu ya kina mama wanaokufa kwa kukosekana kwa huduma za afya wakati wa kujifungua, Watu Hizi damu hazitaondoka bure, Katika kila damu inayomwagika, Itakaa Juu yao.

The end is coming now... (QUOTE)LEOKWELI

na hiyo the end kwanini isiwe wana jf au sisi wenye uchungu na nchi yetu tusimfungulie mashtaka huyu ROSTAM AZIZ na huyu YUSUPH MANJI? kwa ufusadi wao na Uraia,najua humu ndani kuna lawyers na wengine tuliobaki tukichange ili kuwe na uwezekano wa kuendesha hii kesi mpaka kieleweke,(tushinde au washinde) kuliko kubaki kuongea tu
 
No one Cares Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri,
No one cares because they sure we cant touch them,
No one cares because they think of short term impact of their political career ,
No one cares because mioyo yao inawasuta kwa pesa walizoshirikiana kuiba na RA,
No one Cares because they are shareholders in most of RA companies,
No one cares!

But there is blood of Inocent which care and that are Tanzanian wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali kwa kukosa matibabu kutokana na ukosefu wa vifaa vya kisasa vya afya, Damu ya kina mama wanaokufa kwa kukosekana kwa huduma za afya wakati wa kujifungua, Watu Hizi damu hazitaondoka bure, Katika kila damu inayomwagika, Itakaa Juu yao.

The end is coming now... (QUOTE)LEOKWELI

na hiyo the end kwanini isiwe wana jf au sisi wenye uchungu na nchi yetu tusimfungulie mashtaka huyu ROSTAM AZIZ na huyu YUSUPH MANJI? kwa ufusadi wao na Uraia, najua humu ndani kuna lawyers na wengine tuliobaki tukichange ili kuwe na uwezekano wa kuendesha hii kesi mpaka kieleweke,(tushinde au washinde) kuliko kubaki kuongea tu

Penye mstari hapo... ni kweli hawa jamma wamo humu ndani lakini msaada wao ni kiduchu mno katika kutumia taaluma zao kuuokoa umma wa watanzania katika wizi wa kutisha uliofanyika na unaoendelea kufanyika Tanzania. Ni mafundi wa kuzungumza katika redio na TV na kutoa makala katika magazeti... kwenye makongamano, mmhhh!! Ukiwaambia mwende basi mkawashitaki basi au ishinikizeni serikali kupitia sheria iwashitaki, watakujibu "...unajua...aah unajua.." Ilhali sisi engine hatujui la mno lihusulo sheria. Ni waoga kuliko...
 
Jamani twende mele na kurudi nyuma RA na EL are very powerful tycoons in this country. They control 85% of the Mbayuwayu's government. The have even defined who shall be the president of URT 2015!!! The funny thing is Mbayuwayu is helpless on this!!! Yeye ndo URT's president and still can not touch them...

Do we think they do what they do carelessly? Wazo la mleta thredi ni la maana. Lawyers assist!!!
 
Kuna ule wimbo tulikuwa tunaimba primary enzi hizo; unasema: Tanzaniax2 nchi yenye mali nyingi, watu wengi wa ulaya wanakulilia sana
 
lets be serious guys, we can do something kama tukiwa wamoja, sio lazima tushinde, hata wakishinda poa lakini itakuwa mfano kwa wengine wanaojiandaa kuja,maana ninavyojua toka aanze kupigiwa kelele kuhusu uraia na ufisadi atakuwa amejipanga sana.
bora hela ziliwe na hawa watanzania wenzetu zitakuwa zinazunguka hapahapa bongo kuliko huyo mu iran na m********* wanobeba na kupeleka kwao
 
Matusi hayatakiwi jamani.jenga hoja za msingi watu wakuelewe usitulutee mambo ya kiteja hapa.
 
Bha haha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
We malembeka weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!

Duh!
 
...Tumsamehe bure. Ukiona mtu anatukana hovyo ujue umegusa anapopata mkate wake wa kila siku. hawa ndio wanaotumiwa na maponjoro hawa kuua nchi yetu na mwananchi mmoja anaposhituka, wanakimbilia kumuita rasict! Unaujua uracist wewe?? Nenda India uone kama wanajigonga gonga kwa mswahili tofauti na wabantu wa huku wanavyolamba miguu ya maponjoro hawa kwa kutaka ulua!!!
 
No one Cares Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri,
No one cares because they sure we cant touch them,
No one cares because they think of short term impact of their political career ,
No one cares because mioyo yao inawasuta kwa pesa walizoshirikiana kuiba na RA,
No one Cares because they are shareholders in most of RA companies,
No one cares!

But there is blood of Inocent which care and that are Tanzanian wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali kwa kukosa matibabu kutokana na ukosefu wa vifaa vya kisasa vya afya, Damu ya kina mama wanaokufa kwa kukosekana kwa huduma za afya wakati wa kujifungua, Watu Hizi damu hazitaondoka bure, Katika kila damu inayomwagika, Itakaa Juu yao.

The end is coming now... (QUOTE)LEOKWELI

na hiyo the end kwanini isiwe wana jf au sisi wenye uchungu na nchi yetu tusimfungulie mashtaka huyu ROSTAM AZIZ na huyu YUSUPH MANJI? kwa ufusadi wao na Uraia,najua humu ndani kuna lawyers na wengine tuliobaki tukichange ili kuwe na uwezekano wa kuendesha hii kesi mpaka kieleweke,(tushinde au washinde) kuliko kubaki kuongea tu
Vijana wa Lumumba na ufipa hivi haya mafaili huwa mnayafungua kweli!?
 
Jamani twende mele na kurudi nyuma RA na EL are very powerful tycoons in this country. They control 85% of the Mbayuwayu's government. The have even defined who shall be the president of URT 2015!!! The funny thing is Mbayuwayu is helpless on this!!! Yeye ndo URT's president and still can not touch them...

Do we think they do what they do carelessly? Wazo la mleta thredi ni la maana. Lawyers assist!!!

Mh
 
No one Cares Kwasababu watoto wao wanakula na kulala pazuri,
No one cares because they sure we cant touch them,
No one cares because they think of short term impact of their political career ,
No one cares because mioyo yao inawasuta kwa pesa walizoshirikiana kuiba na RA,
No one Cares because they are shareholders in most of RA companies,
No one cares!

But there is blood of Inocent which care and that are Tanzanian wanaokufa kwa magonjwa mbalimbali kwa kukosa matibabu kutokana na ukosefu wa vifaa vya kisasa vya afya, Damu ya kina mama wanaokufa kwa kukosekana kwa huduma za afya wakati wa kujifungua, Watu Hizi damu hazitaondoka bure, Katika kila damu inayomwagika, Itakaa Juu yao.

The end is coming now... (QUOTE)LEOKWELI

na hiyo the end kwanini isiwe wana jf au sisi wenye uchungu na nchi yetu tusimfungulie mashtaka huyu ROSTAM AZIZ na huyu YUSUPH MANJI? kwa ufusadi wao na Uraia,najua humu ndani kuna lawyers na wengine tuliobaki tukichange ili kuwe na uwezekano wa kuendesha hii kesi mpaka kieleweke,(tushinde au washinde) kuliko kubaki kuongea tu
hueleweki maana naona unajipiga chenga mwenyewe.
 
Sheria zipo, waendesha mashtaka wapo, wapelelezi wapo, mahakimu wapo wote hao wahafanyi kazi zao kikamilifu hadi watoke watu jf basi hii nchi na Inatatizo coz hata hao wanasheria wa jf watapitia taratibu hizohizo ambazo zinashindwa kufanya kazi
 
Back
Top Bottom