Salaam Wadau,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zinazokuja humu JF hasa za biashara na uwekezaji na nyingine nimechukua hatua moja mbele na kwenda kuzitekeleza...matunda si haba,ukiwekeza muda,nguvu na mtaji kiasi ikiambatana na maombi ahh faida utaiona.
Hapa karibuni pametokea...
Salamu wakuu,
Natafuta Ps3 console mbili (2) za kununua ambazo zitakuwa mpya au zilizotumika kwenye hali nzuri pamoja na controller (pad) zake.
Mashine zilizoguswa guswa na kurekebishwa no please..vyuma vimekaza kote tusitafute kugombana.
CD kadhaa za game zikiwepo nachukua pia.
kutoka India vijana wakitanzania watambulisha blog yao saafi kwa ajili ya wasanii,waigizaji,wana mziki pamoja na sanaa zote zingine.Ni full kujiachia ndani ya Hipoz Blog....Come Check for yourself at http://hipozmen.blogspot.
Jamani leo nimekuja kugundua kwamba ofisi nyingi hapa bongo wanatumia takwimu feki ili kuepusha kuonekana kwa maovu yao.Hizo ofisi wote twazijua kwani ukisoma habari za bongo kwenye vitabu ni tofauti na hali halisi.....Waongooo....Wanachakachua takwimu za umasikini mpaka za vilema....
Haswaa,ndugu yangu nakuunga mkono...watanzania tumezidi kusahau mambo muhimu...halafu hatujajingea tabia ya kuuliza maswali na hata kutafiti vitu...tunapenda kweliii press conference za viongozi wetu wakituambia kuwa hakuna tatizo na mambo yote yako sawa wakati nothing is going on!!we should...
patriots tupo ila uzalendo inabidi uanzie chini kabisa na uonekane juu kwa viongozi kama viongozi hawana uzalendo kwa nchi yao,wanauweka uzalendo wa watu wa chini pabaya kwa sababu kama tunavyoona resourses zetu zinavyotumika kwa maslahi yao,nani anaumia?ni wananchi wa chini na siyo wao!!
Na sasa hivi mkuu hajaja na kauli mbiu za ice creasm kama hiyo ya mwaka 2005...naona hata waandaaji kauli mbiu nao wameona itakuja kuwageuka baadae kutokana na utendaji hafifu wa serikali yetu....
Nimekumbuka mwaka 2005 ccm walikuja na kauli mbiu nzuri sana pengine nzuri kuliko zote zilizowahi kutokea nchini mwetu,watu wakalainika kwa kauli mbiu tu bila hata sera...tukaichagua kwa kishindo kikubwa...ikawa ya pili afrika kwa ushindi wa kishindo ukiitoa zimbabwe na kura za mugabe...miaka 2...
Nilikuwa natafakari last time...jk angeweza kuwa raisi mwaka 1995 kama mwl. asingewazuia na kuwaambia kikwete na kundi lake kuwa bado hawajakomaa kua viongozi wa nchi...lakini je mustakabali wa nchi yetu ungekuwaje kama jk angeupata uraisi kabla ya mkapa?
Ni miaka 40 na kadhalika bado tunataja shida zile zile,na cha zaidi tumeongeza na nyingine kubwa zaidi ambayo ni ufisadi...kidonda ambacho kilianza kwa mkapa na kikaja kufunguliwa na kuonekana wazi kwa kikwete...mi sijaona raisi wa kumsifia tz kwa kuwa all of them come and go they leave us more...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.