Mpelijr
Member
- May 17, 2010
- 89
- 11
Jamani leo nimekuja kugundua kwamba ofisi nyingi hapa bongo wanatumia takwimu feki ili kuepusha kuonekana kwa maovu yao.Hizo ofisi wote twazijua kwani ukisoma habari za bongo kwenye vitabu ni tofauti na hali halisi.....Waongooo....Wanachakachua takwimu za umasikini mpaka za vilema....