Mpelijr
Member
- May 17, 2010
- 89
- 11
Salaam Wadau,
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zinazokuja humu JF hasa za biashara na uwekezaji na nyingine nimechukua hatua moja mbele na kwenda kuzitekeleza...matunda si haba,ukiwekeza muda,nguvu na mtaji kiasi ikiambatana na maombi ahh faida utaiona.
Hapa karibuni pametokea uwekezaji mpya wa FOREX ambao umejizolea mashabiki,watafiti na wanachama wengi sana hadi kupelekea ile thread ya Ontario kutapika jinsi replies zilivyokuwa nyingi.Chochote kizuri huja na maswali mengi hasa kama ni kipya kwenye soko la watumiaji.Mimi kama mfuatiliaji mzuri ningependa kujikita zaidi kwenye mirejesho iliyokuwa inakuja kwa wingi sana hapo mwanzoni na yote ikiwa ni yenye habari chanya na zikihubiri mafanikio na hata zikashawishi wengine kufikiria kuacha kazi zao na kujikita zaidi kwenye hii biashara mpya.
Napenda kuwauliza wale waliokuwa wanaleta mirejesho mbona hapa karibuni imekuwa michache na ni baada ya muda mrefu ??? Au ile nadharia ya kwamba hakuna mshindi wa siku zote na biashara yenye boom wakati wowote imeanza kupata uhalisia ??
Chonde chonde msinipovushe...900 tu inapendezaaa
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri wa mada mbalimbali zinazokuja humu JF hasa za biashara na uwekezaji na nyingine nimechukua hatua moja mbele na kwenda kuzitekeleza...matunda si haba,ukiwekeza muda,nguvu na mtaji kiasi ikiambatana na maombi ahh faida utaiona.
Hapa karibuni pametokea uwekezaji mpya wa FOREX ambao umejizolea mashabiki,watafiti na wanachama wengi sana hadi kupelekea ile thread ya Ontario kutapika jinsi replies zilivyokuwa nyingi.Chochote kizuri huja na maswali mengi hasa kama ni kipya kwenye soko la watumiaji.Mimi kama mfuatiliaji mzuri ningependa kujikita zaidi kwenye mirejesho iliyokuwa inakuja kwa wingi sana hapo mwanzoni na yote ikiwa ni yenye habari chanya na zikihubiri mafanikio na hata zikashawishi wengine kufikiria kuacha kazi zao na kujikita zaidi kwenye hii biashara mpya.
Napenda kuwauliza wale waliokuwa wanaleta mirejesho mbona hapa karibuni imekuwa michache na ni baada ya muda mrefu ??? Au ile nadharia ya kwamba hakuna mshindi wa siku zote na biashara yenye boom wakati wowote imeanza kupata uhalisia ??
Chonde chonde msinipovushe...900 tu inapendezaaa