Sasa hivi imekuwa tabia ya mashirika yetu kutokutoa huduma bila taarifa. Tanesco baada ya uchaguzi kumalizika kuna mgao wa rejareja unaendelea. Kila siku umeme unakatwa tena kwa masaa mpaka 8 hakuna taaarifa ya maana. Jana Ngereja baada ya kuapishwa alisema wanataka kumaliza mambo ya mgao wakati...
WanaJF naamini wengi wetu kama si wote tutakuwa tumejiandikisha kupiga kura. Lakini kuna huu utaratibu uliowekwa wa kwenda kucheki kama majina yetu yapo. Tafadhari nendeni mkakague kama majina yenu yapo kwenye orodha iliyobandikwa mapema au kwenye tofuti ya NEC www.nec.go.tz kuna utaratibu pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.