Mama Lwakatare kwa kutumia ulaghai na kofia ya kuwasaidia watoto yatima aliuziwa nyumba za shirika la bima pale tabata Bima.
Alidanganya kuwa anataka kufungua kituo cha watoto yatima ili auziwe kwa bei bwerere. Alichofanya baada ya kuuziwa ni kuchukua watoto kumi wa ndugu zake na kuwaweka...
Naandika tena kuyataka makampuni ya simu kuweka wazi gharama zao za kupiga simu badala ilivyo sasa ya kuibiwa kwa kukatwa gharama kubwa bila taarifa. Kwa mfano Tigo wanadanganya kuwa gharama ya kupiga simu eti ni sh 1 kwa sekunde wakati ni uongo mtupu. Wadau jaribuni kufuatilia mtagundua gharama...
Wadau nimeshindwa kuamua. Kati ya hawa wamama wawili ni nani mwenye mvuto kwenye jamii? Namaanisha ni nane ambaye anaweza akasimama mbele yako akakushawishi kuwa yeye ana mchango katika maendeleo ya nchi hii? Nimekuja na jambo hili hasa baada ya kuwaza sababu hasa ya watu hawa kustahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.