Nina pc yangu aina ya acer shida inakuwa kuwaka inachukua dakika 20 kwa kujirestart mara system recover nimebadili window bado tatizo linaendelea naomba yeyote mwenye uelewa anisaidie plz
Msaada wadau, mimi natumia window 7 altimate kwenye desktop na laptop lakini kuna virus hivyo kila nichomekapo flash na kutuma mafaili yote yanakuwa shortcut nisaidieni wanajamvi nimeweka antivirus bado jibu ni hilo hilo, je nitumie njia gani?
samahan wadau nimefanya setting ya display ya cpu inagoma kuonyesha kwenye monitor natumia window7 computer desktop hp nikiwasha inawaka ila haionyeshi kwenye display
Samahan ndugu zangu, nilikuwa naomba kufahamu juu ya uwalimu wa dilpoma in science wanaapply vip maana nimeshindwa kufanya transaction kati ya mpesa na bodi ya mikopo ile namba trasaction id inaniambia haiko sawa ama bado hawajafungua system.
Naomba kam kuna mtu ama ndungu yako kaomba hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.