Habari za wakati huu wana jamvi,ninauza kiwanja kigamboni maeneo ya kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838,kipo dakika chache kutoka barabara kubwa ya kibada-mwasonga,(dakika 5 kutoka kiwanja cha mpira cha yanga na TFF)
Hakina mgogoro wowote na hakina dalali, nicheki direct 0715002270!
Bei mil 20
Habari za wakati huu wana jamvi,Ninauza kiwanja maeneo ya kigamboni kisarawe 2 chenye ukubwa wa sqm 838 kipo mita chache sana kutoka barabara kubwa (dakika 5 kutoka uwanja wa mpira cha Yanga & TFF)
Hakina mgogoro wote na hakina dalali, nicheki direct 0715002270! Bei ni milioni 20.
Habarini za wakati huu.
Mwenye uelewa wa kwanini wafanyabiashara wengi wakienda kununua bidhaa maduka ya jumla wanapenda kwenye zile risiti za manunuzi zitumike TIN NUMBER ZAO, naomba anielezee kwa Kiswahili chepesi ili nielewe nini maana yake na nini faida zake na pengine ata hasara zake...
Ndugu zangu, habarini za wakati huu
Natumaini mpo salama.
Leo nalileta kwenu wazo langu /mtazamo wangu juu ya kumiliki gari! Dhumuni mojawapo la kununua gari ni kukuwezesha wewe mtumiaji kupata utulivu wa kutafakari ama kujadili jambo lingine linalo kuhusu.
Sasa ukiona umenunua gari na muda...
BEI 11.8 MIL [emoji336]0715002270
SUZUKI SPLASH (DQX)[emoji91][emoji91]
YEAR 2008
Cc 1240 [emoji736][emoji184]
MILEAGE 129,000km
ENGINE K 12 B
FUEL PETROL [emoji618]️
TRANS,AUTOMATIC
NEW TYRES
REVERSE CAMERA
FULL AC🧊[emoji3587][emoji3063]
FULL DOCUMENT [emoji94][emoji94]
HAINA KIPENGELE
GARI NI...
Habari za Jumatatu wadau. Kichwa cha habari chahusika.
Ningependa kununua nyumba DSM maeneo ya Kigamboni, naomba ufafanuzi wa mambo muhimu ya kuzingatia kabla na wakati wa kununua nyumba ya kuishi.
Nawasilisha.
Wakuu habari ya leo,
Kuna dhana kuwa gari za kubebea mizigo kama kirikuu na zile mini canter hazitakiwi ziwe automatic,ni lazima ziwe manual.
Hii ikoje kitaalam na je ni kweli magari ya automatic hayawezi biashara ya kubeba mizigo?
Heri ya mwaka mpya wana jamvi,funguo ya gari imeharibika aina ya suzuki splash,nimejaribu kwenda kwa maduka mawili matatu wote wameshindwa sababu ni suzuki na Kuna duka posta barabara ya samora mtaa wa mosque wataalam wa funguo lkn wameshindwa.
Yaani ufunguo umechomoka kutoka kwenye ile body...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.