Malinzi, Mwesigwa na Nsiana wamesomewa mashtaka 28.
Kughushi waraka wa kamati ya utendaji ulioonyesha kuwa EXCOM imeridhia kubadilishwa kwa Signatories wa Bank, hii inamhusu Malinzi na Mwesigwa pia.
Kufoji risiti za kuwa Malinzi anaidai TFF (risiti zipo zaidi 20 zinazodaiwa kufojiwa) hii...
UFISADI WA KUTISHA TFF
Ripoti ya ukaguzi wa fedha za udhamini wa Kampuni ya Bia Tanzania kwa Taifa Stars iliyotolewa Oktoba 2, 2014, inaelezwa kuwa, mbali na mambo mengine, TBL iliamua kufanya ukaguzi huo ili kujiridhisha kama shirikisho linazingatia makubaliano yaliyomo kwenye mkataba...
BAADA YA KUKOSA SAINI YA JONAS MKUDE, YANGA WAPIGA HODI AZAM FC
.............
Na isack kalindi
DAR ES SAALM: YANGA baada ya kumkosa Jonas Mkude wa Simba aliyeamua kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia timu hiyo, imehamisha macho yake kwa kiungoHimid M ao wa Azam FC huku ikiwa tayari...
Wachezaj walioachwa
*AFC Bournemouth*
Buckley Callum Ralph
McCarthy Jake
Neale Matthew Alexander
*Arsenal*
Da Graca Kristopher Santos
O'Connor Stefan Ramone Sewell
Sanogo Yaya
*Burnley*
Barton Joseph
Green George William
Hill Christian Stephen
Kightly Michael John
Olomowewe Taofiq...
Maamuzi hayo yametangazwa leo na Katibu mkuu wa TFF Selestin Mwesigwa katika ukumbi wa habari wa TFF.
Sababu za kufutwa pointi hizo ni
kucheleshwa kwa malalamiko ya Simba Sc dhidi ya Kagera Sugar.
Simba SC kushindwa kulipia ada ya kukata rufaa kwa maamuzi ya mechi hiyo
na kukosekana kwa...
MICHEZO Usitarajie kumuona tena Zlatan Ibrahimovic uwanjani kwa mwaka 2017
By Isack kalindi
Bado wachezaji na benchi zima la ufundi la Man United halitakuamini kwa kilichotokea kwa mshambuliaji wao tegemeo raia wa Sweden Zlatan Ibrahimovic kuwa hawezi kurejea uwanjani kwa siku za karibuni...
Kwa mujibu wa Katiba ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), kila mwanafamilia wa mpira wa miguu Tanzania analazimika kuheshimu na kufuata kanuni za maadili za shirikisho kama zilivyoainishwa kwenye kanuni zake mbali mbali.
Wanafamilia wa mpira wa miguu ni pamoja na wachezaji, makocha...
Naomba mwalimu anaeteka kufundisha shule za private mkoani wa pwani.
Shule iko Kongowe mbagala inahitaji biology chemistry
Offer ni nyumba na chakula cha asubhi na mchana.
Mshahara ni 840, 0000/ mpaka 920, 000/
Nyingine iko Bagamoyo pwani.
Awe na mathematics
Mshahara 700, 000/ hadi 750...
AMD SOLUTION TANZANIA : Inapenda Kuwatanganzia Nafasi Za Kazi Kwa Sectary Sifa Za Mwombaji
==> Awe Na Uzoefu Na Kazi
==> Awe Na Cv Za Sectary
==> Ajue Kiingereza Cha Kuongea Na Kuandika
==> Asiwd Na Umuri Zaidi Ya Miaka 45
==> Awe Mtanzania
Njinsi Ya Kutuma Maombi
Maombi Yote Yatumwe Kupitia...
Team Ya Baryen Munich Imefanikiwa Kufudhu Nusu Fainali Baada Ya Kushinda Kwa Goli 6 Kwa 1 Na Kufikisha Jumla Ya Goli 7 Kwa 4 Baryen Sasa Yaenda Fainal
Huku Mchezo Mwingine Uliopigwa Pale Nou Camp, Barcelona Iliibuka Na Jumla Ya Goli 2 Kwa Nunge Goli Ambazo Zilifungwa Na Nerymal Na Barcelona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.